Ahaha,wagalatia mnachekesha,natamani Samia siku moja awaalike mashehe na maimamu ikulu awape sadaka ya namna yoyote,sipati picha jinsi mtavyotukana humu na chuki zenu kwa hiyo dini
Kazikwe pembeni yake nawewe huende peponi mkuu, yaani serikali isifanye Jambo kisa huyo mungu wenu,,kubarini serikali inaongozwa na walio hai sio waliokufa
Kwa tabia zetu watanzania na wapinzani,hizo barabara zitajengwa, na itakapofikia kipindi Sasa serikali inaanza kuchukua Tozo kwenye hizo barabara hili kurudisha ghalama alizotumia mkandarasi,utasikia wananchi watakuja kuanza kulalama mitandaoni kuwa tozo ziondolewe na blablaa kibao,na wapinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.