Recent content by Dinatalelee

  1. D

    Msaada unahitajika maana naona kichwa kinaelekea kupasuka

    Kwa iyo kumtupa mtoto na kumgawa kipi ni bora?
  2. D

    Msaada unahitajika maana naona kichwa kinaelekea kupasuka

    Asante sana kwa msaada uliotaka kunipa nipo Dar es salaam
  3. D

    Msaada unahitajika maana naona kichwa kinaelekea kupasuka

    Mi mwenyewe namshangaa huyu mwanamke kwa kweli maana mtoto mwenyewe ni wa kike na mzuri sana tu shida msichana wa kazI inabidi kumpangia chumba manaa kwa sister kumejaa.
  4. D

    Msaada unahitajika maana naona kichwa kinaelekea kupasuka

    Nilikuwa na wazo kama ilo ila nilivyompeleka kwenye izo day care kila mtu akimuona anataka elfu 50 kwenda juu mi mwenyewe siko vizuri kwa sababu hata kazi muda mwingine inabidi nisiende kwa iyo imeni cost sana kiuchumi
  5. D

    Msaada unahitajika maana naona kichwa kinaelekea kupasuka

    Msaada unaitajika ndugu zangu maana hata sijielewi kabisa kwa mambo yanayoendelea. Nilikuwa na mke wangu ila tukaamua kuachana baada ya yeye kuchukua vitu na kuondoka. Baada ya muda kaona haitoshi kamtelekeza mtoto wetu mdogo mwenye umri wa mwaka 1 na nusu kwa sister wangu. Sister yeye ana...
  6. D

    Wenye Tigo na Halotel wahini hii ofa ya kupewa GB 10 bure

    Itakuwa una fungu lako zio bure maana hakuna kitu chochote kile
Back
Top Bottom