Recent content by dimitr

  1. dimitr

    Kwanini Mbeya ni jiji?

    Mtoa post namfananisha na mkuu mmoja iv alisema tz inapiga hatua yaani maendeleo kutokana na uwepo wa foleni, du! it is shameful
  2. dimitr

    Gharama za maisha Manispaa ya Sumbawanga

    nimetoka swanga last week kupo poa hata mimi before nilidhani kupo ovyo la hasha mji uko vizur mitaa imepangika vizur sana zaid ya tanga ila kwa wale wajasiria mali kama mimi ni mkoa wa kutoka utajir njenje nakushauri nenda na plan ya uwekezaji
  3. dimitr

    Toyota Coasta inauzwa

    Bodi ipo vp engine nina 10m
  4. dimitr

    Halmashauri ya wilaya ya Kilindi huku mnakoelekea siko

    Du ngoja waje wajibu tuhuma if it's true or uzushi
  5. dimitr

    Ni ndoto za alinacha kwa UKAWA hii kuitoa CCM 2015

    Ni kwamba we need fairly election full stop mambo unayosema hapo juu hafanyi kazi kwa watz wa sasa mbona usemi rushwa na wizi wa kura mnaotegemea kwa kiasi kikubwa, kila siku mnasema manawachama 6m hawafi, hawaendi vyama vingine au hampati wanachama wapya kumbuka lowassa ni mtaji tosha kwa ukawa
  6. dimitr

    Ni ndoto za alinacha kwa UKAWA hii kuitoa CCM 2015

    Ngoja tuone na uchambuzi wako wa upande mmoja
  7. dimitr

    Wasomi wa Elimu ya Juu wakataa kuburuzwa

    Elimu bure matibabu bure yawezekana ni kujipanga tu vyanzo vya mapato vipo tena vingi tu mfano tukiwa na usimamiz mnzur kwenye madin bandar mazao ya biashara uvuvi kodi mbali mbali , utalii nk
  8. dimitr

    Umeme wa sh 11,000 service charge ni sh 7,500, wizi mkubwa!

    Hahaha wa tz watu wa ajabu sana endeleeni kupokea nguo za njano na ulofa wenu
  9. dimitr

    January 25, 2014 Tanzania ilikuwa na vijiji 19200 ukizidisha na milion 50 za Magufuli

    Acha ulofa hata kiswahili sanifu ukijui eti daradara , mabadiriko hii ndio milofa na mipumbavu
  10. dimitr

    Nchi zote zenye mabadiliko duniani zilifanya mabadiliko ya mfumo wa utawala!

    Huyu lizibon mngse sana pumba kila wakati sijui anaishi nchi gani mfumo wa utawala wa chukua chako mapema sio rafiki kwa maendeleo ya taifa unafigisufigisu nyingi sana viongoz ndio wa kwanza kulindana
Back
Top Bottom