vyuo vya ualim km butimba ndo bora coz kwanza ndo vyuo maalum kwa hiyo elim hv vyuo vikuu wanaweka ili kuongeza idad ya wanavyuo pili vyuo vikuu vipo after money tatu vyuo vikuu vina wataalam wa degree ila vyuo vya ualim ni wataalam walosomea kitu unachoenda kujifunza nne vyuo vikuu vimejaa...
kule ni chuo sio km olevel kutesana kule kila mtu anamuheshim mwenzie awe mdogo au mkubwa kitakachokutesa ni mfuko wako maana kule kuna watu wana hela za hataar kwo km hauna kitu mfukon hata dem hutokaa umpate, hata ukitoka nae kwenu utanyanganywa
nimezipitia coment zenu wengi mpo sahihi na mna mawazo mapana ila siku hizi pc hawafail km zaman mfano mzuri ni mimi hapa nimerudia mtihan wa kidato cha 6 mwaka huu na nimepata matokeo mazur sana na kiujumla kituo chetu kilifaulisha karibia watahiniwa wote kwani tuliofanya mtihan tulikuwa 24 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.