Recent content by Digogile

  1. D

    Nyumba ya Sumaye kupigwa Nyundo mpaka Chini!

    Kwani Luhanjo na Amon nao wamehamia CHADEMA? Hilo eneo tumekuwa tukicheza mpira hapo ila vigogo wakaona watoto tunafaidi na wao ndio wanamatumizi nalo wakatufukuza. Avunjiwe tu na mwingine yeyote aliyevamia open spaces no matter who..... tumechoka. Mtu hana huruma, majumba kila sehemu na bado...
  2. D

    Wazanzibar watajwa Wizara ya Fedha, Elimu

    Umetumiakigezo gani to make this conclusion?
  3. D

    Vijana wa CHADEMA hatuna imani na uongozi wa Mbowe, Dr. Slaa na Zitto?

    Tatizo jamaa kagusa maslahi yao so lazima wamkomeshe, unaambia babu kamuweka demu wake kama mhasibu. Akitaka hela tu anachukua anavyotaka, sasa Zitto anataka CAG aende unategemea nini hapo. Ajiangalie watamCHACHAWANGWE ila nakumbuka jamaa alishasema kama kifo chake kitatokana na mtu basi hata...
  4. D

    Kama Zitto ukifukuzwa CHADEMA anzisha chama chako na ntakuwa mtu wa pili kujiunga!

    Tatizo Mbowe, Lema, Sugu ni mamburura. Hawakwenda shule ila wana uchu wa madaraka. Wanamuona ZZK ni threat kwao katika kufikia wanachokitaka. ZZK hakurupuki ni miongoni mwa gifted kwakweli. Kuna vitu vingi amefanya ambavyo vimeleta mabadiliko katika nchi. Swali la msingi kujiuliza.......... Lema...
Back
Top Bottom