Viongozi wa kiroho muwe kweli Manabii (wa kweli), Wafalme (wa kweli) na Makuhani wa kweli wakati wote na kwa kondoo wote wa BABA hata nyakati ngumu. Msielemee upande moja. HAKI ndicho kitu cha kwanza, AMANI itafuata palipo na haki. Mungu Baba ndiye aliyetuleta Tannzania (Tanganyika) sisi wote...
Freeman Aikaeli Mbowe, among very few Political Parties Chairperson that are sensible, worth listening, stand by their words, considerate, democratic, to mention only the few
Hofu yako nini? au nawe una interests zako. Hili la Sabaya, hata mtoto mdogo mwenye akili inayoweza kujitegemea analiona kuwa huyu alikuwa kiongozi wa aina yake kuwahi kutokea-uadilifu =0, uongozi=0, haki za binadamu=0, uungwana =0.
Ndugu yangu Mwigulu alitokea kuwatungia watu kesi ya aibu ya "UGAIDI". Mahakama Kuu Kanda ya Tabora ikamtimua kwa kumwambia atafute shitaka lingine, kwani hapakuwa na Ugaidi Tanzania. Huyu si mtu mwema hata kidogo
Unapomzungumzia Freeman Aikaeli Mbowe, unapswa kuwa mtulivu. This is the only worthlistening political party leader in Tanzania. Her Excellency Samia Suluhu Hassan is as well a great Public Speaker.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.