Kumbuka sheria haijaundwa ili kuvunja ndoa, bali ni kutatua matatizo ktk ndoa, lazima kuna sababu ya mke kuomba talaka.
Na kama mali mlichuma wote lazma mgawane. Bt kama alikukuta nazo, hakuna kugawanywa.
Hapo kwanza...ungetufahamisha mambo yafuatayo bro
1.ndoa ya baba na mama no ya kanixani,kimila,kiislamu
2.baba aliacha urithi
3.Baba amekua akiishi maisha gan?kidini au kimila....
Zaidi kaxome sheria ya ndoa ....... matrimonial property Division...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.