FaizaFoxy hizi ishu zinafanana, Kurasini ni mradi unaolazimisha watu wahamishwe, Chamazi pia kuna mradi unaolazimisha watu wahamishwe, ishu ni mradi unaopelekea watu waondolewe katika makazi yao ya kudumu na sio barabara ama bandari kavu.
kwahivyo suala la kurasini litajitokeza mara kwa mara...
Habari zenu wakubwa!
Nimeambiwa kuwa Jamiiforums ni mgodi wa habari na maarifa. Nikaona nije ili nipate kuvuna kinachopatikana ndani ya mgodi huu.
Mimi ni mkazi wa Chamazi, maeneo ya Mfenesini japo sina muda mrefu maana nimehamia kutoka Kurasini tulipolazimishwa kuhama na Mradi wa EPZA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.