Usisunbuke mwalimu. Wewe njoo Kilwa kwenye gesi. Mimi nije Pwani, Morogoro, Dodoma, Kahama, Muleba, Missenyi, Bukoba Idara ya Sekondari. Ebu nipigie mabilionea tuongezeke bana. No yangu ni 0782777803
Mimi ni mwalimu nio Lindi Kilwa namtafuta mwalimu wa kubadilishana naye, akiwa Dar es salaam, Morogoro Manispaa, Mwanza Jiji au Kibaha manispaa no yangu ni 0682744536
Dalili ya mvua ni mawingu, wabunge wanatuwakilisha katika Bunge la katiba wameonyesha dhaili kwamba hawakuafaa kutuwakisha sisi wanyonge kwa kudai posho kubwa kiasi hicho.
Hii ni ishala kwamba hata katiba watakayo ipitisha ni ile itakayojali sana maslahi yao tu. Kama waasisi wa Taifa hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.