Recent content by dic

  1. D

    Mbowe sasa avuka mipaka, afanya matumizi ya gari la serikali kwa shughuli za CHADEMA

    mbona mashangingi ya mawaziri na wakurugenzi yanashinda huko mvuti na maeneo mengine kwenye mashamba ya wakubwa lakini huoni kama ni matumizi mabaya ya mali zetu. hasa siku za week end :)
  2. D

    Arusha haikulengwa dini...

    'mbona wanaotajwa kulipua bomu ni wakisto victor, jeseph n.k'
  3. D

    Mlipuko Arusha: Watu 8 wakamatwa, wamo raia wanne wa Saudi Arabia

    kwani walioua boston ni waislam?. je wale wakatoliki wanaolipuana na waluthery kule northern ireland kabla hata neno ugaidi halijafahamika dunia hii nao ni waislam. msitafute majibu rahisi katika maswali magumu. kama serikali yetu ingekua competent ikafanya uchunguzi wa kutosha kutajua ukweli...
  4. D

    Mlipuko Arusha: Watu 8 wakamatwa, wamo raia wanne wa Saudi Arabia

    hili jambo mnaosemi ni udini, je mbona mlipuani ni mkristo au naye ana maslahi gani na uislam. mbona watuhumiwa wengine hawatajwi majina. wengine ni wageni je nao wana maslahi gani na uislamu wa tanzania. kuhusisha hilo jambo na udini bila uchunguzi utakaotupa ukweli ni uchochezi. kwani...
  5. D

    Ephraim Kibonde Jahazi Show

    huyu jamaa ni msema ovyo tu, sijui hata huko nyumabni kwake anawruhusu wanae wasikie anayoyasma akiwa kazini?
  6. D

    GE2010 ubungo mp election

    i think mnjika is one of those who were directly targeted for closure of university but it didnt work. thanks god
Back
Top Bottom