Recent content by diaz

  1. D

    Tanzania agriculture development bank

    Jamaa wameanza kuita watu kwenye usaili, tangazo la kazi la tarehe 13 NOV 2014.
  2. D

    Wataalam wa kuandika academic research report

    ndiyo kazi inayoniweka mjini hiyo kaka.
  3. D

    Wataalam wa kuandika Research Report

    najua wapo watu wanahitaji huduma hii. Plz, usikatishwe tamaa, tutafute kupitia namba 0716 076 231
  4. D

    Natafuta kazi ya kufundisha Hesabu, Shule za Sekondari

    piga namba hizo hapo juu upate kazi kijana.
  5. D

    Wataalam wa kuandika academic research report

    Tunaandika project mbalimbali,pia tunauza project kwa taasisi mbalimbali na kuandika academic research. CONTACT: 0716 076 231 / 0683 978919
  6. D

    Wataalam wa kuandika Research Report

    Mtaalam wa kuandika RESEARCH PROPOSAL RESEARCH REPORT PROJECT nk...Anapatikana kwa namba 0716 076 231. Wanafunzi wengi wa vyuo vikuu wamenufaika nami. Kama wewe ni mwanafunzi wa UNDERGRADUATE au wa POST GRADUATE tafadhari usisite kuwasiliana nami kwa namba hiyo hapo juu, au piga namba 0683...
  7. D

    Mwalimu wa chemistry anapatikana 0715 812 862

    Mtaalam wa kufundisha somo la CHEMISTRY anapatikana. Ni mwalimu mwenye uzoefu wa kufundisha masomo ya sayansi kwa njia ya vitendo na nadharia. Piga simu hiyo hapo juu au 0683 978919 kwa maelewano zaidi. Mwalimu ni mwajiriwa serikalini, anafundisha HALMASHAURI WILAYA KISARAWE. Kwa...
  8. D

    Natafuta kazi ya kufundisha Hesabu, Shule za Sekondari

    Nitafute 0712 710 574, au 0716076231 njoo nikuajiri shule ya kata. Secondary
  9. D

    Vyeti vimeokotwa

    Habari...tumeokota vyeti vya ndugu GODFREY J SIRINGWE aliyesoma O Level Majengo Sec Moshi na kuhitimu October 2011 na kujiunga na UDSM kwasasa ... Kwa yeyote anayemfahamu Tafadhali awasiliane na 0718818695 /0718199793 kwa msaada zaidi namna ya kuvipata... Tunomba tuusambaze ujumbe huu...
  10. D

    Mwalimu wa Practical za Chemistry, Physics & Biology

    Mwalimu wa KUANDAA & KUFUNDISHA practical kwa masomo ya science (PHYSICS, CHEMISTRY & BIOLOGY) Anapatikana. Kwa mahitaji ya KUANDAA & KUFUNDISHA practical kwa masomo ya science, mwalimu anapatikana maeneo ya PUGU , DAR-ES-SALAAM. WASILIANA NAE KWA SIMU NAMBA 0715 812862/ 0764 812862 kwa maelezo...
  11. D

    Eneo linauzwa / Mashamba yanauzwa

    Eneo lenye ukubwa wa Hekari 500 linauzwa. Eneo lipo Kisarawe, Masaki kijijini, eneo lipo along barabara iendayo Msanga/ Maneromango. Ni kilomita 20 ukitokea CHANIKA. Hekari moja inauzwa shilingi milioni moja (Tsh 1,000,000/=). Kwa mteja ambaye atachukua zaidi ya Hekari 50 bei inaweza ikapungua...
  12. D

    Mwalimu wa chemistry

    Sorry wadau wangu wa elimu. Mwalimu napatikana Dar-es-salaam, Ilala maeneo ya Gongo la Mboto. Mwalimu ni mwajiriwa wa Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe but ni katika hali ya kutaka kujiongezea kipato thats why natafuta Partime. Kama kutakuwa na shule ambayo tutakubaliana kwenye malipo nipo...
  13. D

    Mwalimu wa chemistry

    kama unatafuta au kuhitaji mwalimu wa chemistry aje kufundisha kwenye shule yako au tuition nyumbani kwako, tafadhali piga simu +255 715 812862 kwa maelewano zaidi.
  14. D

    dah hii inauma sanaaaa kuhusu NSSF

    ushahidi ni kuwataka nssf waweke majina shortlist.
Back
Top Bottom