*mambo ya uwakala Big no,kutokana na uhalifu wa mitandaoni uko juu sana sasa na kuhusu ufugaji kuku naona wazo zuri ila eneo sina kabisa.
*Asante kwa ushauri.
*Habari zenu wana Jf
*mimi ni kijana mdogo kabisa mwenye elimu ya form 4b ninaeishi Daressalaam..
*Nina mtaji wa milioni mbili ila nimeshindwa kupata Idea yoyote ya business ambayo itanilipa vizuri na kuendelea kuniweka mjini.
*Humu ndani najua kuna watu wana nia ya kusaidia,hivyo...
kheri kwenu wadau,
Baada ya kupigika na Maisha saaaana nimebahatika kupata 3.5million
*nina miaka 22
*elimu form4
*Nina nguvu zangu na akili timamu
*sasa katika akili yangu limekuja wazo la kwenda majuu kutafuta maisha.
nchi yoyote ya Duniani excluding African country.
*Niko teyari mda wowote...
habari zenu wakuu...
*Naombeni msaada ngozi yangu ina mabakamabaka nahisi ni kutokana kupigwa na jua sana.
*Je ni njia gani naweza kuyatoa au cream gani nitumie.!?
Amani kwenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.