Waumini wa KKKT usharika wa Monduli Mjini jana walipigwa na butwaa baada ya harambee waliyokuwa wakiisubiri kwa hamu iongozwe na mbunge wa Monduli ndugu Edward Lowassa kwa ajili ya kumalizia jengo la hostel kugonga mwamba baada ya mbunge huyo kutotokea kama alivyoahidi. Awali mbunge huyo...
Wana Muleba watakuwa wamesaidia sana hili taifa tofauti na majimbo mengine ambayo wabunge wao walipokutwa ndani ya kashfa za ufisadi wao waliwapongeza kwa kuwaita mashujaa kama Monduli wakati wa Richmond.
Lowassa anauwaza urais kwa siasa za kihuni namna hii?
Huyu ni mtu hatari sana kwa ukuaji wa demokrasia angekuwa na uwezo angewaua wapinzani wake wote Monduli.
Mtu kama huyu hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi.
Vijana waliokuwepo ndio wakulaumiwa.Nimemuona Makonda akiwa buheri wa afya nikasikitika sana.Vijana wa Dar es salaam sio mfano wa kuigwa kwa jinsi walivyoshindwa kumshughulikia Makonda mpaka sasa anaonekana shujaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.