Wakazi wa tegeta nyaishozi hasa waliokua wakipenda kupata kinywaji katika bar ya nyamachabesi,kabla ya tukio la kumwagiwa tindikali watakua na la kusema kuhusu huyo bwana,mtafteni mzee Ndimala Tegambwage ambaye alikua muhanga wa tukio muonesheni hii picha cause na yeye ni mkazi wa tegeta...
Amani na timu yako ndio mliompoke Balozi hapo bukoba mjini mwaka 2005 nakumbuka ulimpa balozi gari(Prado) kipindi kile afanyie kampeni,unajua mlicho mfanyia lwakatare mwaka 2005 na Balozi akashinda ubunge,then urafiki wenu ukadumu mpaka mkamtoa Mzee Luangisa kwenye nafasi ya umeya mwaka 2010...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.