Recent content by dfk-agent

  1. dfk-agent

    Kapombe Transfer Saga

    My sincere apologies. Pointi niliyotaka kusema ni kwamba sijaficha kitu chochote katika ushauri wangu na situation hii. Nimekuelewa.
  2. dfk-agent

    Dili ya Kapombe Azam wizi mtupu, walipa 225M - Rage apiga 71M na Simba yaambulia 19M tu

    Mimi muongo bana. Hao lamba lamba wasafiiiiiiiiiiiiiii............. Walinifuata mimi nikawaambia watapata dili poa zaidi ya hapo. Sasa wanasema nilitaka hela nyingi. Evidence itawekwa tu hapa. Call me anything but muongo. Not in my blood.
  3. dfk-agent

    Kapombe Transfer Saga

    Dogo alikuwa na kesi FIFA, akadanganywa jinsi ya kuandika barua niliyoletewa kupitia mwanasheria wa Bhakresa. Nikamwambia abadilishe, akatoa nje. Nikaipeleka FIFA, ikakataliwa. Nikamtumia copy mbili (na nikam-cc Malinzi, na viongozi wengine wa karibu yake), nikampa barua mbili. Moja kuendelea na...
  4. dfk-agent

    Dili ya Kapombe Azam wizi mtupu, walipa 225M - Rage apiga 71M na Simba yaambulia 19M tu

    Ninavyojua, kesho Azam wanarudishiwa €43,000 walizo transfer kwenda Cannes (Cannes wamewasiliana nao, jamaa wameuchuna). Jamaa wameudhika, wamekubaliana kitu kimoja, wenyewe wameenda kugeuza. Nimesoma kwenye blogu kwamba mimi muongo (muda ukifika ugali na mboga vitamwagwa). Sasa iweje wawe...
  5. dfk-agent

    Dili ya Kapombe Azam wizi mtupu, walipa 225M - Rage apiga 71M na Simba yaambulia 19M tu

    Naomba niseme vitu hivi - Waandishi wa habari wawe wanauliza maswali vizuri. Jana Redio 1 wameongea na kiongozi wa Azam akasema watawalipa Cannes hela ya Simba. Akasema hela sio tatizo. Ni kweli sio tatizo kama analipwa Cannes au wanakubaliana wamlipe Simba moja kwa moja, so long the numbers add...
  6. dfk-agent

    Dili ya Kapombe Azam wizi mtupu, walipa 225M - Rage apiga 71M na Simba yaambulia 19M tu

    Historia iko hivi; - Februari Azam walituma offer ya €40,000 kumnunua. Ikapigwa Chini Cannes - Watu wakashinikiza avunje mkataba, ikashindikina -April Azam wakaweka offer ya €70,000. Ikapigwa chini -NOTE: Copy ya hizo offer zipo - Mwezi wa nne/tano, walipokwama, wakaniomba nisaidie...
  7. dfk-agent

    Ngorongoro heroes iwe Taifa Stars yenye maboresho

    Sio kwamba walichaguliwa timu za vijana kwanza halafu Azam ndio wakawavuta? Fuatilia facts zako kwanza.
  8. dfk-agent

    Soka la bongo ni ubabaishaji mtupu

    Pamba haijawahi kuwa bingwa wa Ligi Kuu. Walikuwa mabingwa wa kombe gani lile lililokuwa linalounganisha timu za bara na visiwani? Pamba walikuwa wanapoteza ubingwa wa ligi mwishoni mwishoni.....ila siku hizi naelewa kwanini ilikuwa inatokea hivyo.
  9. dfk-agent

    Malinzi amemfungisha vilago kocha wa timu ya Taifa

    Naomba niwasaidie tu. Kocha mzuri mwenye jina zuri, mshahara wake inakuwa kama kuanzia $50,000 kwa mwezi. Na kama ni kocha kijana na anataka kutengeneza jina Ulaya, kwanini aje nchi kama Tanzania? Ndio maana unaona nchi kama za West Africa huwa wanachukua kocha kwa muda mfupi kama wakiingia...
  10. dfk-agent

    Maswali na ushauri kwa Malinzi

    Nimeona kwenye website ndio. Ila kuna mawakala wawili kutoka Tanzania wamewasiliana nami wakisema wako chini ya TFF, lakini siwaoni majina yao (mwingine anaishi nchi jirani). Hili ni swali muhimu kwasababu uongo huu unawaletea matatizo vijana wengi sana. Kuna mawakala wengine wanawakamua vijana...
  11. dfk-agent

    Maswali na ushauri kwa Malinzi

    Habari bwana Malinzi, TFF ina Wakala gani ambao wako chini yake? Kupitia mtandao wa FIFA naona majina ya Ally Saleh, Mehdi Remtulla na John Ndumbaro tu. Asante
  12. dfk-agent

    Maswali na ushauri kwa Malinzi

    Habari bwana Malinzi, Mimi naomba nishauri vitu viwili kwa sasa. - Wachezaji wengi wanapata shida sana kupata video zinazoonyesha highilights zao. Ni vigumu sana mchezaji kupata ushirikiano kutoka katika makampuni ya media (TV) ili aweze kupata video mbalimbali alizocheza ili atengeneze video...
  13. dfk-agent

    Hadhi ya Ernie Brandts, Shoka la Manji na Sarakasi zetu

    Kwahiyo mashindano ya Africa CL nia yao watahonga sio, regardless of coach? Ina maana Ernie Brandts kashinda Rwanda kwa kuhonga pia? Uholanzi amefundisha na kafanya vizuri viongozi wake walikuwa wanahonga pia? Wewe kweli unaweza fananisha CV ya Brandts na ya huyo jamaa? Siamini kama kuna makocha...
  14. dfk-agent

    Hadhi ya Ernie Brandts, Shoka la Manji na Sarakasi zetu

    Hii topic sikutaka kuchangia mwanzo hadi nione wanafanya nini, maana nilishikwa butwaa. Kumfukuza Brandts na kumchukua Hans van de Pluijm ni vichekesho. Hii inanikumbusha walivyomleta yule straika wa kiNigeria pre-season wakijisifia ameitwa timu ya Taifa Nigeria, just like I thought, aliondoka...
  15. dfk-agent

    Pamba Soccer Team

    Ok, Mimi sitaweza kuwepo kwenye mazungumzo haya, mawazo hayo mazuri maana ndio options pekee zilizopo. Lakini, cha muhimu zaidi mnataka uongozi gani na mfumo upi wa viongozi kuwa accountable na sio wafujaji? Je mikakati gani iwepo ili timu iwe na self generating income? Juweni kwamba hata kama...
Back
Top Bottom