dalili za mtu mwenye I/Q ndogo ni kama za Nape ,si mtu wa kufikiri ila ni mropokaji ,hawa ndio wanatakiwa na CCM ya kisasa .
Itikadi sio kuwatoa mafisadi ,maana hao ndio wamekifikisha chama kilipo kwa wizi wa kura na mambo kama hayo ...Bila lowasa na siasa za maji taka leo JK angekua raisi...
Jamani huyu mama ,sijui amesoma wapi ...kiingereza chake kibovu ,poor Tanzanians
speaker huyu kweli ????tunamlinganisha na mzee 6 ?? ndio Tanzania ya JK
sio hoja hata mbunge wa ludewa deo filikunjombe alishasema milango ifungwe katika kikao cha kwanza tena akiwa anachangia lakini haikua ishu ..acheni uzandiki CCM imechoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.