mbona mimi sijaweka mashart yakutisha?ambayo tena wala si magumu? alafu tuweke picha hapa inahusu?ambaye yuko tayari picha yangu nitamtumia kwa email ndo maana nilisema mwenye uhitaji.Sioni kama kuna ulazima sana wakuweka picha hapa kwenye jukwaa.
Asante kwa ushauri.
Mimi ni mwanamke wa umri wa miaka 30,natafuta mwenza kupitia jukwaa hili.Sifa nizitakazo kwa huyo mwenzi awe na muonekano mzuri tu na awe nakipato walau chakujikimu yeye mwenyewe kama una mtoto walau mmoja au wawili si mbaya sana hapa tunaweza kusaidiana kulea.Mimi nimeajiriwa hapa Dar na nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.