Wapendwa Amani iwe kwenu daima,
Naomba niwashukuru sana wote mliochangia kwa busara na hekima zenu ambazo zimekuwa ni mwanga kwa tatizo la mdogo angu kupata utatuzi wa yaliyojitokeza kwenye ndoa yake.
Kwa Upande wangu mniwie radhi kwa kutowajibu papo hapo mlipochangia kwani nilipatwa na...
habari zenu wapendwa!
jamani mie nimeletewa hili jambo na mdogo angu wa damu kabisa akiniomba ushauri na kwa kweli nimeona nije kwenu mnisaidie tumshauri cha kufanya kutokana na yeye kukata tamaa na kufikiria kuondoka kwenye ndoa yake.
Ameolewa miaka 3 iliyopita na ana mtoto mmoja.
Kwa muda...
Daaah pole sana ndugu ,Mungu akutie nguvu na ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu kwako,Mama ametangulia nasi tuko nyuma yake,kwake Mola wote tutarejea!
ndugu yangu mie ni mzazi na kwa experience yangu mwanao ana kitu wanasema mchango ambao huwa unawapata watoto mwanzo wa mwezi ukiandama, katikati ya mwezi na mwisho...huwa wanashtuka hivyo na kama hutamuwahi dawa basi huwa inapelekea degedege.dawa za hospital zipo na za kienyeji zipo pia,mimi...
Asanteni jamani wapendwa kwa kunikaribisha,Katavi,Yegoo,Globu.Ulimakafu,Baba V,Tedo,Watu8,Be blessed kwani mmenifanya nijisikia huru na mmoja wenu mlivyonikaribisha.
Jamani wapendwa wana JF..Natumaini mnaendelea vizuri Kiafya na kimajukumu!
Mie naitwa Devj,nimependa michango,mawazo na misaada yenu kwa wahitaji na hivyo naomba kuwa mwanajamii mwenzenu katika JF jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.