Recent content by devj

  1. D

    Ugonjwa huu unatiba?

    Mleta hii habari...uko mkoa gani? hebu ni PM eneo
  2. D

    Tabia ya Mume inanitesa

    Wapendwa Amani iwe kwenu daima, Naomba niwashukuru sana wote mliochangia kwa busara na hekima zenu ambazo zimekuwa ni mwanga kwa tatizo la mdogo angu kupata utatuzi wa yaliyojitokeza kwenye ndoa yake. Kwa Upande wangu mniwie radhi kwa kutowajibu papo hapo mlipochangia kwani nilipatwa na...
  3. D

    Tabia ya Mume inanitesa

    habari zenu wapendwa! jamani mie nimeletewa hili jambo na mdogo angu wa damu kabisa akiniomba ushauri na kwa kweli nimeona nije kwenu mnisaidie tumshauri cha kufanya kutokana na yeye kukata tamaa na kufikiria kuondoka kwenye ndoa yake. Ameolewa miaka 3 iliyopita na ana mtoto mmoja. Kwa muda...
  4. D

    Tanzia: Mama yangu mzazi ameaga dunia

    Daaah pole sana ndugu ,Mungu akutie nguvu na ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu kwako,Mama ametangulia nasi tuko nyuma yake,kwake Mola wote tutarejea!
  5. D

    Huu ni ugonjwa au?

    ndugu yangu mie ni mzazi na kwa experience yangu mwanao ana kitu wanasema mchango ambao huwa unawapata watoto mwanzo wa mwezi ukiandama, katikati ya mwezi na mwisho...huwa wanashtuka hivyo na kama hutamuwahi dawa basi huwa inapelekea degedege.dawa za hospital zipo na za kienyeji zipo pia,mimi...
  6. D

    Kuwa Pamoja Nanyi JF

    Asanteni jamani wapendwa kwa kunikaribisha,Katavi,Yegoo,Globu.Ulimakafu,Baba V,Tedo,Watu8,Be blessed kwani mmenifanya nijisikia huru na mmoja wenu mlivyonikaribisha.
  7. D

    Kuwa Pamoja Nanyi JF

    Jamani wapendwa wana JF..Natumaini mnaendelea vizuri Kiafya na kimajukumu! Mie naitwa Devj,nimependa michango,mawazo na misaada yenu kwa wahitaji na hivyo naomba kuwa mwanajamii mwenzenu katika JF jamani.
  8. D

    Kwa wale wenye presha ya kushuka (low blood pressure) watumie hizi dawa

    Mungu akubariki sana utoaye Elimu hii kwa wote kwani wengi wetu tunaangamia kwa kukosa maarifa haya ya tiba mbadala!
Back
Top Bottom