Recent content by devil blade

  1. D

    Rais Magufuli awakemea TRA kwa kuwanyanyasa wafanyabiashara kwa kisingizio cha kodi

    Kwann sasa?lazma wabongo mjifunze kuwa ni giza tupu
  2. D

    Huyu hafanani na Mwl. Julius Nyerere hata kidogo..!

    Tatzo lakuchagua washamba,chato imewekewa taa kabla ya tanga yan taa zmewekwa tanga baada ya ziara yake
  3. D

    Mapambano ya kidemokrasia dhidi ya utawala wa awamu ya tano yataendelea, na natoa onyo kwa vijana wa lumumba

    Yuviziziemu na ziziem wapo wanaosapoti haya mambo so hayana upande,hao wapga kelele wanasaka mirija ya maisha
  4. D

    KAHAMA: Rais Magufuli afungua kiwanda asema Tanzania ina fedha za kujiendesha kwa miezi zaidi ya 5, haijawahi kutokea!

    Miezi mitano???mi nljua serikali inaweza jiendesha miaka nane......ndo maana elimu inafanywa mbovu ili watu wasichanganue mambo
  5. D

    Rais Magufuli: Ole wake atakayeandamana, kama kuna baba zao wanawatuma, watakwenda kuwasimulia vizuri

    Hukujawahi kuwa na utawala wa chuma kama wa roma lakn ulianguka,so chochote kinaweza kutokea
  6. D

    Ujumbe wa Mrisho Mpoto umfikie Rais Magufuli na wana CCM wote

    Sasa hivi ukimuunga baba mkono unaonekana mzalendo[emoji23][emoji23]....uzalendo siyo kumsifia baba....
  7. D

    TLS vipi hili la aliyeunguzwa na Mumewe mbona kimya au sio mnyonge huyu?

    Wewe unajua majukumu ya TLS au ushabiki wako unakusumbua
Back
Top Bottom