Recent content by deusi Nyambala

  1. D

    JamiiForums Tanzania How to Exchange gemail account

    Nimejaribu Mara kadhaa Ku exchange my account baada ya kusahau password, nilikuwa nataka niweke nyingine inagoma. So mwenye anafahahu anisaidie, kwenye Sm ya Tecno W4
  2. D

    JamiiForums Tanzania MSAADA WA PDF

    Hahaha inaonesha watu, hawajui
  3. D

    JamiiForums Tanzania MSAADA WA PDF

    Natafuta pdf ambayo inamaneno ya kiingereza kama hiyo picha, mwenye anayo anirushie hiyo pdf au niiandikaje niweze kudownload.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Tupeane maujanja hapa

    Kwahiyo na hii software ya kuludisha data ulizo farmat mtasema nayo ni fake? Ease Us data recovery
  5. D

    JamiiForums Tanzania Tupeane maujanja hapa

    Nilisearch nikaona empty, haijawai jadiliwa, ilikuwa na kichwa kinachosemaje?
  6. D

    JamiiForums Tanzania Tupeane maujanja hapa

    Nan Alisha itumia kati yenu, na akona matokeo
  7. D

    JamiiForums Tanzania Tupeane maujanja hapa

    Kuna software ya computer inaitwa Sdata tools. Hii software inafanya kazi ya Ku double ukubwa wa memory card na flash. Kama inaukubwa wa 2gb inakuwa 4gb, 4gb-8gb, 8gb-16gb na kuendelea. Niliwahi kuitumia kwa memory ya ukubwa wa 4gb ikawa 8 gb, sasa hiyo software ya Sdata tools niliipoteza...
  8. D

    JamiiForums Tanzania Je ninaweza kuapply advance kwa masomo ya sayansi?

    Vp kuhusu kulisit nayo unanishaulije Sent using Jamii Forums mobile app
  9. D

    JamiiForums Tanzania Je ninaweza kuapply advance kwa masomo ya sayansi?

    Nina D ya phys D ya chemia, bios C, Engl C, maths F, Engl C, Kiswa D, na mengine yaliobaki D. Je ninaweza kuapply advance kwa masomo ya sayansi? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom