Shalom wana Jamii Forum. Habari zilizonifikia hivi punde kwa njia ya simu kutoka kwa familia ya Dk. Wilbroad Peter Slaa ni kwamba Dk. Slaa ana siku ya pili ya mgomo wa kula huko gerezani na ameanza kudhoofu sana.
Anatumia njia hii kama hatua ya kushinikiza sheria dhidi yake ichukue mkondo...
Ni humu humu nimewahi kuandika uzi miaka minne iliyopita kuwa kandarasi ya kuwamaliza M23 na wenzao ipewe JWTZ tu bila kuwachqnganya na wengine. Ni kazi ya mwezi mmoja tu. Siyo kuwatimuq bali kuwaua.
Wanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.