Recent content by Desprospero

  1. D

    GE2025 Kassim Majaliwa atangaza ghafla kutogombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa

    Kasoma alama za nyakati mapema. Sasa ashughulikie magorofa anayomiliki kama uyoga Kariakoo.
  2. D

    Sura ya Bashiru Ally Kakurwa inazungumza mambo mengi sana !

    Hana hamu ya yanayoendelea.
  3. D

    Tetesi: Askofu Gwajima kufutwa uanachama, kugombea Urais...

    Huyo ni mgombea Urais wa Chauma
  4. D

    PreGE2025 Furaha Dominick amlipukia Askofu Gwajima: Hana uhalali wa kuongelea Utekaji, ni muongo na muhuni

    Huyu hana moral othority ya kumjibu Gwajima. Furaha ni miongoni mwa matapeli wazuri sana hapa mjini. Naye ataumbuliwa.
  5. D

    SI KWELI PreGE2025 Dr. Slaa ana siku ya pili akiwa kwenye mgomo wa kula kushinikiza kupata rufaa yake

    Shalom wana Jamii Forum. Habari zilizonifikia hivi punde kwa njia ya simu kutoka kwa familia ya Dk. Wilbroad Peter Slaa ni kwamba Dk. Slaa ana siku ya pili ya mgomo wa kula huko gerezani na ameanza kudhoofu sana. Anatumia njia hii kama hatua ya kushinikiza sheria dhidi yake ichukue mkondo...
  6. D

    JWTZ, tulindieni heshima yetu yalindeni maslahi yetu DRC-Congo

    Ni humu humu nimewahi kuandika uzi miaka minne iliyopita kuwa kandarasi ya kuwamaliza M23 na wenzao ipewe JWTZ tu bila kuwachqnganya na wengine. Ni kazi ya mwezi mmoja tu. Siyo kuwatimuq bali kuwaua.
  7. D

    PreGE2025 CCM mnaye mbadala wa Samia Suluhu Hassan kugombea Urais 2025?

    Wanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
  8. D

    Joe Biden asinzia wakati Makamu wa Rais Dkt. Mpango akizungumza

    Maeneo kama hayo yalimfaa Membe. Asingesinzia huyo babu.
  9. D

    Rais Samia afuta sherehe za Uhuru, aagiza fedha zitumike kusaidia huduma za kijamii

    Afya na mazingira haya kiusalama hawezi kukagua gwaride hata kikosi kimoja tu.
  10. D

    Je, ishu ya Adani kupewa kitengo cha makontena ndiyo iliyosababishwa Abdul Nondo atekwe?

    Watekaji walimwambia, si unajifanya kuwa na mdomo?
  11. D

    Majengo yenye nyufa Kariakoo yanayokaribia kudondoka

    Jengo la Simba pale msimbazi ni suala la muda tu.
Back
Top Bottom