Brother kufanya UI/UX designing sio kupoteza muda!!
Ni creativity ambayo unakuta hata madeveloper wengi hawana, ndio maana bongo application au website nyingi ni za kawaida sana, na ukifwatilia unakuta nyingi zinafanana. Kwasababu inakuta developer anafanya kwa mazoea. Ngoja nikionyeshe kazi...
Kutengeneza mobile au web application haitofautiani sana na ukandarasi wa majengo, kwamba kabla Engineer hajanyanyua mjengo ni lazima awe na design au ramani ya jengo, kutoka kwa Architect.
Ndivyo ilivyo kwa application development, UI/UX Designers ndio wanaotengeneza muonekanao wa hiyo app...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.