Recent content by dereckkilaki

  1. D

    JamiiForums Tanzania Nauza nyumba(ghorofa moja bado kuezeka)kwa bei ya kutupa

    Wandugu, Kama kichwa kinavyojieleza, ninahama Jiji la Dar na kuhamia mkoani. Ninauza Nyumba yangu moja iliyopo hapa Dar sehemu iitwayo Madale. Ni ghorofa moja nimeijenga mpaka juu ghorofani, bado kumalizia Renta na kuezeka tu. Ina vyumba 4 juu na kimoja chini. Pia ina Dinning, Sitting...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Nauza nyumba (ghorofa moja bado kuezeka) kwa bei ya kutupa

    Wandugu, Kama kichwa kinavyojieleza, ninahama Jiji la Dar na kuhamia mkoani. Ninauza Nyumba yangu moja iliyopo hapa Dar sehemu iitwayo Madale. Ni ghorofa moja nimeijenga mpaka juu ghorofani, bado kumalizia Renta na kuezeka tu. Ina vyumba 4 juu na kimoja chini. Pia ina Dinning, Sitting Room,Study...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Narudi kijijini, nauza nyumba (ghorofa moja) bado kuezeka tu kwa bei ya kutupa

    Wana jukwaa, wasalaam, Kwa hiari yangu nimeamua kurudi kijijini nikawekeze kwenye kilimo na ufugaji. Hivyo nimeamua kuuza nyumba yangu moja iliyopo hapa Dar es Salaam sehemu iitwayo Madale (Anakoishi Diamond Ptatnum) Nyumba hii ni ghorofa moja na nimepambana kuijenga mpaka juu ghorofani bado...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Nimeshusha bei nyumba ninayouza, lipa nusu na malizia nusu baada ya mwaka mmoja

    Wandugu Members JF, Nimerudi tena kutangaza biashara ya nyumba yangu ambayo haijakamilika baada ya kupunguza bei na urahisi wa ulipaji kwa mhitaji. Nyumba ipo Madale, Dar es Salaam na Kiwanja kina Ukubwa wa Square Meter 1105. Ni GHOROFA MOJA, bado kumalizia Renta na kuezeka tu. Umeme na Maji...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Nauza nyumba (ghorofa moja) ambayo haijakamilika kwa bei nafuu, malipo ya awamu pia nakubali

    Habari Members Wiki mbili zilizopita niliweka tangazo la nia yangu ya kurudi Mkoani ili nikawekeze kwenye kilimo hivyo nilitangaza kuuza Nyumba yangu ambayo haijakamilika na kiwanja vilivyopo Madale, Dar es Salaam. Nashukuru mwana JF mmoja aliwasiliana nami na nimeshamuuzia kiwanja hivyo Nyumba...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Nauza Kiwanja na Nyumba ambayo haijaezekwa kwa bei karibu na BURE

    Ndugu Members Natarajia kuhama Jiji la Makonda kurudi Mkoani kuwekeza kwenye Kilimo. Hivyo nimeamua kuuza Nyumba yangu ambayo bado sijaimalizia kuiezeka kwa bei nafuu sana. Nyumba ipo Dar es Salaam sehemu inayoitwa Madale na ipo kwenye Kiwanja chenye Ukubwa wa Hatua 66 kwa 28. Ni Ghorofa Moja na...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja na nyumba ambayo haijaezekwa kwa bei nafuu

    Ndugu Members Natarajia kuhama Jiji la Makonda kurudi Mkoani kuwekeza kwenye Kilimo. Hivyo nimeamua kuuza Nyumba yangu ambayo bado sijaimalizia kuiezeka kwa bei nafuu sana. Nyumba ipo Dar es Salaam sehemu inayoitwa Madale na ipo kwenye Kiwanja chenye Ukubwa wa Hatua 66 kwa 28. Ni Ghorofa Moja na...
Back
Top Bottom