Wapiga kura walikuwa wangapi? Sidhani kama walifika hata 200,000! Vituo havikufika 500! Wastani wa wapiga kura 400 kwa kituo! Upigaji kura uliisha saa 10, kura zilianza kuhesabiwa, let's say, saa 11. Hata kama kungekuwa na watu wawili wawili wa kuhesabu kura kila kituo, kazi ya kuhesabu ingeisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.