Tujadili hili suala mana kuna mkanganyiko wa uletaji habari humu. Na je wanaposema wataajiri mikupuo miwili, ina maana kuna watakaochinjiwa baharini? Na huo utaratibu mpya utoaji ajira tofauti na miaka mingine naona kutakuwa na harufu ya interview au itakuwa direct?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.