Recent content by Deogratias Mutungi

  1. Deogratias Mutungi

    Zanzibar, CCM vs ACT-Wazalendo kuelekea 2025

    Sera na mipango ya rais Mwinyi inavyoimaliza ACT- Wazalendo kuelekea 2025 Deogratias Mutungi Utawala bora, Uchumi imara, Demokrasia safi, nidhamu na maadili ya viongozi, Ufanisi na mweleko wa mafanikio ya serikali yoyote ile ulimwenguni upimwa kwa sera na mipango yake kimamlaka na ndani ya...
  2. Deogratias Mutungi

    Nani aliye Msafi ndani ya CCM??

    Ndugu Allen sipo kwenye koma na sijawai kuwa huko, Mungu epusha mbali, nipo vizuri, " Upigaji upo na upo kweli kweli" lkn sio Manifesto ya Chama, huo ni ugonjwa unaohitaji tiba, Japo zama zimebadilika kiuchumi na kisiasa, lkn bado fikra za kijamaa na Ukulima zinaishi miongoni mwa Watanzania.
  3. Deogratias Mutungi

    Nani aliye Msafi ndani ya CCM??

    Ndugu Allen unyangau na ulafi wa Mali za umma ni hulka ya mtu, inawezekana wahuni wanatumia nembo ya CCM kama kichaka cha kuficha maovu yao binafsi, Sidhani kama miiko, na miongozo ya CCM inahalalisha "Ufisadi na Uzandiki". CCM ni ya Wajamaa na Wakulima, endapo wapo wahuni ndani ya Chama ni...
  4. Deogratias Mutungi

    Nani aliye Msafi ndani ya CCM??

    Salaam ndugu, Ndani ya CCM wapo wasafi pengine kuliko unavyofikri, wenye tabia za uzandiki, ufisadi, umalaya na wizi ni matokeo ya malezi na makuzi yao, Mifumo na itikadi za CCM hazizalishi product ya "wanyanganyi na manyangau wa kuhujumu taifa hili" Taifa hili tunalo ombwe la uaminifu katika...
  5. Deogratias Mutungi

    Mvua zimekatika na maji hakuna. Waziri aweso unatukosea sana Wanadar es Salaam

    Mkuu inasemekana hata industry revolution ilianzia Africa huko Mali, lkn tafakari Mwafrika ana nini cha kujivunia Karne hii kiuchumi!
  6. Deogratias Mutungi

    Dkt. Slaa: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni 'mjinga fulani'

    Josephine Mushumbusi ni mke halali wa ndoa wa Dr. W. Slaa.
  7. Deogratias Mutungi

    Nguvu inayotumika kupambanua ni ushahidi tosha kuwa Mkataba wa Bandari una walakini

    Haaaaa! Hizo ni assumption tu za kisiasa, Mama Anna ana hoja za kizalendo Wala sio maslahi Binafsi.
  8. Deogratias Mutungi

    Nguvu inayotumika kupambanua ni ushahidi tosha kuwa Mkataba wa Bandari una walakini

    Mkuu John Wahaya wanahusika vipi tena na mnyukano huu wa Mkataba dhidi ya DPW?
  9. Deogratias Mutungi

    Nitaenda Chato kuwashitaki Polepole, Kabudi na Bashiru; nitapitia Butiama kuwashitaki Butiku, Warioba na Prof. Shivji

    Salaam ndugu Ujamaa, "Umangungo ni nadharia tu usihofu" hoja ni amendment za vifungu gani zilifanyika baada ya Mjadala wa DPW bungeni, Je wangapi walijikita kujadili Mkataba na vifungu vyake pasee? Muda wa ukusanyaji wa maoni hata wiki ilifika? Tusipuuze kelele na kukebei wanao hoji, Wana kitu...
  10. Deogratias Mutungi

    Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

    Ndugu yangu involved, umenilisha maneno, Binafsi sina chuki na DP World, nina Imani pia asilimia kubwa ya Watanzania hawana chuki na Mwarabu, hofu ya mantiki ni "Yatokanayo na Mkataba dhidi ya serikali na DPW" kudo's umenena vyema juu ya historia ya ujio wa dini, lkn tujiepushe na munkali wa...
  11. Deogratias Mutungi

    Kama kweli DP World ataifanya Bandari ichangie 67% ya Bajeti ya Nchi basi Tanganyika Tutakuwa kama Qatar!

    Utegemezi wa bajeti ni utumwa wa kifikra ndugu FaizaFoxy...., Wala si Jambo la kujisifu, nipe shule "Waarabu walifanya nini"?
  12. Deogratias Mutungi

    Kama kweli DP World ataifanya Bandari ichangie 67% ya Bajeti ya Nchi basi Tanganyika Tutakuwa kama Qatar!

    Ndugu FaizaFoxy, Karne hii hatuwezi kulaumu tena Mkoloni Wala mifumo yake, bali Umaskini wa mtu mweusi ni akili yake mwenyewe, Imagine taifa Dogo kama Denmark kutoa msaada kwa nchi kama DRC-Congo yenye Kila aina ya utajiri wa rasilimali, unafikri tatizo ni ukoloni?
  13. Deogratias Mutungi

    Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu!

    Salaam ndugu Paskali, Asante kwa muhtasari huu, Ubinafsishaji sio dhambi, bali ni kiini na kichocheo cha Uchumi wa taifa, tafsiri ovu ya Ubinafsishaji Kwa Africa ni mikataba ya "kikupe" unyonyaji, Kelele zinazoendelea mitaani sasa ni matokeo ya historia dhidi ya mikataba mibovu Kwa Africa, Je...
  14. Deogratias Mutungi

    Tatizo la Nchi yetu Wanahabari wote ni CCM na sasa sekta imetekwa na Waigizaji. Chadema anzisheni Media yenu mtufikie kiuhakika

    Salaam John, Dokezo; Si wanahabari wote ni Wana CCM, la hasha! ndani ya tasnia wapo wapinzani, Wana CCM na wasio na vyama, Salaam John, Dokezo; sio wanahabari wote ni Wana CCM, la hasha! ndani ya tasnia wapo wapinzani, Wana CCM na wasio na chama, hivo hitimisho la wote si sahihi, content...
Back
Top Bottom