Recent content by Deogratias Mutungi

  1. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Tuzike tofauti zetu kwa ustawi wa Tanzania yenye Amani tele kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Ni wakati wa kufunua ukurasa mpya

    Salaam wana Jukwaa wa Jamii Forum. Niwape pole na madhira yaliyoipata nchi mnamo Oktoba 29, kwa ufupi ni matukio ambayo kila aliye muungwana na mwenye roho ya utu, ubinadamu na hofu ya Mungu kamwe, abadani hawezi kukosa kulaani kilichotokea, inauma, inasikitisha na kuumiza sana sana. Waungwana...
  2. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mchungaji Msigwa: Mbowe Mwenyekiti uliyekaa sana Madarakani tukutane Mahakamani

    Salaam bwana John, laiti siku moja ningepata fursa ya kukutana na wewe ningechota historia kedekede na maarifa mengi.
  3. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania SoC04 Ujenzi wa vituo vya dharura bararani ili kutoa huduma kwa majeruhi wa ajali itasaidia kupunguza idadi ya vifo hapa nchini

    Eneo la mada Miundombinu ya Usalama barabarani. Mada: UJENZI WA VITUO VYA DHARURA BARARANI ILI KUTOA HUDUMA KWA MAJERUHI WA AJALI ITASAIDIA KUPUNGUZA IDADI YA VIFO HAPA NCHINI. Uwepo wa vituo vya dharura barabarani ni msaada mkubwa wa kuokoa maisha ya binadamu wenzetu pale inapotokea ajali...
  4. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Tabaka la Wahafidhina linavyo Mkwamisha Rais Mwinyi Zanzibar

    TABAKA LA WAHAFIDHINA LINA MKWAMISHA RAIS MWINYI Deogratias Mutungi Nianze Makala haya kwa kurejea viongozi hawa nguli , Hastings Kamuzu Banda rais wa zamani wa Malawi, na Waziri Mkuu wa Zamani wa Uingereza Winston Churchill, Banda wakati fulani aliwai kusema, ” Kiongozi mwenye utashi wa...
  5. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Zanzibar, CCM vs ACT-Wazalendo kuelekea 2025

    Sera na mipango ya rais Mwinyi inavyoimaliza ACT- Wazalendo kuelekea 2025 Deogratias Mutungi Utawala bora, Uchumi imara, Demokrasia safi, nidhamu na maadili ya viongozi, Ufanisi na mweleko wa mafanikio ya serikali yoyote ile ulimwenguni upimwa kwa sera na mipango yake kimamlaka na ndani ya...
  6. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Nani aliye Msafi ndani ya CCM??

    Ndugu Allen sipo kwenye koma na sijawai kuwa huko, Mungu epusha mbali, nipo vizuri, " Upigaji upo na upo kweli kweli" lkn sio Manifesto ya Chama, huo ni ugonjwa unaohitaji tiba, Japo zama zimebadilika kiuchumi na kisiasa, lkn bado fikra za kijamaa na Ukulima zinaishi miongoni mwa Watanzania.
  7. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Nani aliye Msafi ndani ya CCM??

    Ndugu Allen unyangau na ulafi wa Mali za umma ni hulka ya mtu, inawezekana wahuni wanatumia nembo ya CCM kama kichaka cha kuficha maovu yao binafsi, Sidhani kama miiko, na miongozo ya CCM inahalalisha "Ufisadi na Uzandiki". CCM ni ya Wajamaa na Wakulima, endapo wapo wahuni ndani ya Chama ni...
  8. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Nani aliye Msafi ndani ya CCM??

    Salaam ndugu, Ndani ya CCM wapo wasafi pengine kuliko unavyofikri, wenye tabia za uzandiki, ufisadi, umalaya na wizi ni matokeo ya malezi na makuzi yao, Mifumo na itikadi za CCM hazizalishi product ya "wanyanganyi na manyangau wa kuhujumu taifa hili" Taifa hili tunalo ombwe la uaminifu katika...
  9. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Mvua zimekatika na maji hakuna. Waziri aweso unatukosea sana Wanadar es Salaam

    Mkuu inasemekana hata industry revolution ilianzia Africa huko Mali, lkn tafakari Mwafrika ana nini cha kujivunia Karne hii kiuchumi!
  10. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni 'mjinga fulani'

    Josephine Mushumbusi ni mke halali wa ndoa wa Dr. W. Slaa.
  11. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Nguvu inayotumika kupambanua ni ushahidi tosha kuwa Mkataba wa Bandari una walakini

    Haaaaa! Hizo ni assumption tu za kisiasa, Mama Anna ana hoja za kizalendo Wala sio maslahi Binafsi.
  12. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Nguvu inayotumika kupambanua ni ushahidi tosha kuwa Mkataba wa Bandari una walakini

    Mkuu John Wahaya wanahusika vipi tena na mnyukano huu wa Mkataba dhidi ya DPW?
  13. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Nitaenda Chato kuwashitaki Polepole, Kabudi na Bashiru; nitapitia Butiama kuwashitaki Butiku, Warioba na Prof. Shivji

    Salaam ndugu Ujamaa, "Umangungo ni nadharia tu usihofu" hoja ni amendment za vifungu gani zilifanyika baada ya Mjadala wa DPW bungeni, Je wangapi walijikita kujadili Mkataba na vifungu vyake pasee? Muda wa ukusanyaji wa maoni hata wiki ilifika? Tusipuuze kelele na kukebei wanao hoji, Wana kitu...
  14. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

    Ndugu yangu involved, umenilisha maneno, Binafsi sina chuki na DP World, nina Imani pia asilimia kubwa ya Watanzania hawana chuki na Mwarabu, hofu ya mantiki ni "Yatokanayo na Mkataba dhidi ya serikali na DPW" kudo's umenena vyema juu ya historia ya ujio wa dini, lkn tujiepushe na munkali wa...
Back
Top Bottom