Tuelewe kuwa mtandao wa ujambazi inaonekana ni mkubwa maeneo yote Tanzania. Huko walikopelekwa Polisi kulikuwa na majambazi wengine ndo waliorushiana risasi na Polisi. Hayo yametokea Mara nyingi siyo hiyo tu.
Majambia ni silaha na ndiyo yaliyotumika kuwachinja watu bunduki haichinji. Mi naona wwanaotia shaka huenda nai ni majambazi au ni ndugu wa majambazi..hivi mnapenda askari naona wauawe ? Kumbuka wanamafunzo na mbinu nyingi. Tuwape moyo askari wetu ili RAIA tuwe na amani .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.