Bora kukosea kuoa maana mke kuachana naye ipo ndani ya uwezo wako
Lakini ole wako ukosee kuchagua kiongozi maana kumtoa huku tayari umeshampa mamlaka juu yako,lazima ukubali kuumia
Pombe ingekuwa inaleta faraja kweli leo ningeinywa baada miaka 10 ya kuachana nayo,nimepata faraja kubwa sana baada ya taarifa hii,acha niendelee kuwa magotini mwa Kristu yesu kuendelea kumwombea Kamanda lissu
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika sisi wakatoliki tunaabudu sanamu au unaongea mambo usiyoyajua.Mungu alimwambia Mussa atengeneze sanamu ya nyoka na kila aliyeng'atwa na nyoka akitazama ile sanamu ya nyoka atapona.nikuulize Mungu aliwaagiza wayahudi wa kipindi kile waabudu sanamu maana Mungu mwenyewe alielekeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.