Recent content by deo lekule

  1. deo lekule

    John Heche: IGP Sirro huna mamlaka na huwezi kunyamazisha Watanzania kujadili shambulio la kinyama alilofanyiwa Lissu

    Sirro aache kupandisha watu hasira,maana zikilipuka kuzituliza italigharimu taifa
  2. deo lekule

    IGP Sirro: Mjadala wa Tundu Lissu kupigwa risasi ufungwe mara moja

    Bora kukosea kuoa maana mke kuachana naye ipo ndani ya uwezo wako Lakini ole wako ukosee kuchagua kiongozi maana kumtoa huku tayari umeshampa mamlaka juu yako,lazima ukubali kuumia
  3. deo lekule

    Siasa bana: Kwamba leo Shonza ni naibu waziri, Nape nje. Dah....!

    Kwamba leo mzimu wa idd amini ndio unaoongoza tanzania
  4. deo lekule

    Kutokana na sababu hii, CHADEMA inasambaratika na CCM inainuka

    Hivi unafikiri ni kama ccm kila kitu anaamu magu
  5. deo lekule

    Kutokana na sababu hii, CHADEMA inasambaratika na CCM inainuka

    Chaguzi za madiwani ndio zitatoa majibu
  6. deo lekule

    Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?

    Na ukibaini serikali inahusika,utaficha wapi bichwa lako Sent using Jamii Forums mobile app
  7. deo lekule

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Pombe ingekuwa inaleta faraja kweli leo ningeinywa baada miaka 10 ya kuachana nayo,nimepata faraja kubwa sana baada ya taarifa hii,acha niendelee kuwa magotini mwa Kristu yesu kuendelea kumwombea Kamanda lissu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. deo lekule

    Sakata la IMMMA: Rais wa TLS, Tundu Lissu atoa maazimio ya Baraza la Uongozi. Wapanga kugoma siku mbili

    Mtu akikudai anageuka kuwa adui. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. deo lekule

    Tundu Lissu(CHADEMA): Ndege ya ATCL iliyopaswa kuwasili nchini mwezi Julai, imekamatwa Canada na watu wanaoidai Tanzania

    Iwe ya Canada ama Japan msingi wa hoja ya lissu ni ndege yetu kukamatwa.ongera Tundu lissu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. deo lekule

    TLS ni Taasisi isiyo na msaada kwa wananchi, nyumba zetu zinabomolewa Kimara

    Sema haina msaada kwako.sio wananchi,mbona mm ni mwananchi na nimeshasaidiwa nayo. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. deo lekule

    TLS ni Taasisi isiyo na msaada kwa wananchi, nyumba zetu zinabomolewa Kimara

    Sema haina msaada kwako Sent using Jamii Forums mobile app
  12. deo lekule

    Rais Magufuli apokea zawadi ya sanamu ya Bikira Maria Ikulu Dar

    Una uhakika sisi wakatoliki tunaabudu sanamu au unaongea mambo usiyoyajua.Mungu alimwambia Mussa atengeneze sanamu ya nyoka na kila aliyeng'atwa na nyoka akitazama ile sanamu ya nyoka atapona.nikuulize Mungu aliwaagiza wayahudi wa kipindi kile waabudu sanamu maana Mungu mwenyewe alielekeza...
Back
Top Bottom