Recent content by Dennis_

  1. D

    Nauza iphone na google pixel kwa bei ya kutupa

    Nauza simu zifuatazo kwa bei ya kutupa a.k.a mateke Iphone xr gb 64 price 540,000 iphone xr gb 128 price 600,000 Iphone x gb 64 price 470,000 Iphone xs maxbattery (-)560,000 iphone 11 gb 64 price 710,000 Iphone 11 gb128& 256 price 790,000 *Iphone 11 64Gbprice790,000 *( boxed)...
  2. D

    Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

    Kitu ambacho huelewi ndoa hailaziishwi and is not for everyone
  3. D

    Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

    Hofu yako ni watu kukuona muhuni, hivi heshima inafaida gani kama huna ela, katika vitu ambavyo sivitaki ni heshima hizi za kiafrika
  4. D

    Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

    Afya njema ndo itakayokupa uzee mwema
  5. D

    Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

    wengine wanakataliwa na wanawake almost wote wataoaje, wengine wanaleta hizi Uzi kwa sababu ya kukataliwa na kila mwanamke ni matokeo ya kua dissopoint na hili ndo kundi kubwa mda mwingine maisha hayakupi unachotaka, kiasili hakuna mtu ambaye hapendi ndoa Ila circumstances za maisha ndo sababu...
  6. D

    Finally nimepata watoto mapacha kwa njia ya surrogate

    Ni mwanamke anayejiheshimu
  7. D

    Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

    Hakuna kitu kama hicho so far ni imagination
  8. D

    Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

    Hii haitakaa iwezekane kinachofanyika tumboni na Ile pumzi ya uhai mtoto anayoipata ni mysterious haijulikani inatoka wapi, hata kwa shetani ni fumbo kubwa sana, hiyo formula ya pumzi ya uhai Mungu atakaa a-share na mwanadamu
  9. D

    Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

    Kama wanaringa IVF ndo suluhishi
  10. D

    Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

    Mim ninaishi bongo na nimefanya IVF https://www.jamiiforums.com/threads/finally-nimepata-watoto-mapacha-kwa-njia-ya-surrogate.2045479/
  11. D

    Hii simping culture imekuwa too much now. Wanaume halisi wako wapi?

    Hata mimi sibabaishwi na wanawake refer https://www.jamiiforums.com/threads/finally-nimepata-watoto-mapacha-kwa-njia-ya-surrogate.2045479/page-13#post-44541428
Back
Top Bottom