Recent content by denis_fredrikk

  1. D

    JamiiForums Tanzania Super El nino 2026/2027.. El nino ya kihistoria

    TMA walitangaza elmino 2023 na mvua zilipiga kuliko za vuli
  2. D

    JamiiForums Tanzania Tuwafanye wake zetu kuwa marafiki, hata kama tunachepuka

    Kimario ni wewe kweli
  3. D

    JamiiForums Tanzania Bakhresa ameshinda tuzo ya TRA ya mlipa kodi, basi MoDewji usitusumbue kuwa wewe ni namba 1 Afrika

    Narudia tena mo ana mbinu na mtaalamu wa biashara, anabiashara ambazo ndio UTI wake wa mgongo na zinampatia pesa nyingi na ziro tax payment rate mfano pitia hapa https://www.businessresearchinsights.com/market-reports/sisal-fiber-market-120531 Angalia contribution yake kwenye sisal duniani...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Bakhresa ameshinda tuzo ya TRA ya mlipa kodi, basi MoDewji usitusumbue kuwa wewe ni namba 1 Afrika

    Unaweza kuwa tajiri na usilipe Kodi kwa baadhi ya bidhaa na ndio zenye income kubwa. Ndio maana ni rahisi Tajiri kutangaza bizaa anazolipia Kodi kubwa na ambazo hazilipiwi hatangazi. Mfano mdogo ukitoa wafanyakazi wanakatwa payee sector inayochangia Kodi kubwa ni ya mafuta jiulize je hao...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Prof. Assad: Nikipigiwa simu kutoka juu ya maagizo, asubuhi yake nilikuwa naandika barua

    Profesa anaumia kutokana na madudu na ufisadi unaofanyika wakati lengo la career yake ni Ku expose hayo mambo
  6. D

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wanaochukia Wachina kujaa ni Wabaguzi waliojaa tamaa, Wachina wako poa sana muwaache watupe nafuu ya maisha, Tumechoka kupigwa

    Free market Kwa Tanzania inaruhusu Kila mtu kufanya biashara na bei itapangwa kutokana na Demand na supply ni vizuri lakini embu tujiulize yafuatayo. Kwa Nini hao wachina wanaouza bidhaa zao huku kwetu wasibadili model ya kununua kwao na kutuuzia yani wajenge viwanda huku kwetu badalaa yakuwa...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Namtamani nikiwa na hamu naye lakini baada ya hapo namchukia

    Ata Mimi hujaniona tu my
  8. D

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wanaochukia Wachina kujaa ni Wabaguzi waliojaa tamaa, Wachina wako poa sana muwaache watupe nafuu ya maisha, Tumechoka kupigwa

    Ok nisahihi, lakini embu tuangalie kwenye uchumi wa NCHI yetu Ina manufaa. Kwangu ni hapana kwasababu zifuatazo. 1. Profit generated kwenye biashara zao wanaenda ku reinvest katika NCHI zao. 2. Hatujiulizi Kwa Nini kama wao Wana mitaji mikubwa si wangewekeza viwanda huku kwetu na kutuzalishia...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Namtamani nikiwa na hamu naye lakini baada ya hapo namchukia

    Kwahiyo wewe unamtaka mtu wa aina gani
  10. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini tatizo la wanawake wengi kukosa hamu ya tendo la ndoa imekuwa kubwa sana?

    Mimi nazani tatizo kubwa ni ajenda ya Mimi nazani hii ni ajenda ya adui shetani katika kuitawala Dunia, hofu ya Mungu kupungua na wanawake kuiacha asili Yao(feminist), ndio vyanzo vikuu ila wakirudi kwenye asili Yao ya kimungu hawawezi kaa bila sex Kwa muda mrefu hivyo
Back
Top Bottom