Kama udikteta n kuogopwa basi hata Mwl. Nyerere alkua dikteta maana aliogopwa sana hasa kwa wala rushwa na mafisadi! Hivyo Rais Magufuli anapambana na mambo hayo pengne ndo watu wanahisi hvyo! Nadhana Tanzania hakuna udikteta. Andika vitu vya kiwafunza wananchi si kuichkia nchi yako.
Hii ni kweli kabisa ila cku zote wapo watakaopinga ila naamn Rais Magufuli ataweka mambo sawa kabisa, pia Hawa wanaompinga n wasopenda kufanya kazi yaan wao kila kitu n kupinga na kulalamika
Kama n mapito inabidi uvumilie, pia usisubr serikal ikuajir tumia ujuz uliofundishwa kutafuta fursa za maisha. Acha lawama na ufanye kaz neema inakuja na hakuna kiongoz bora kama Magufuli.
Jeshi n lazma liheshimiwe, hv unajua mafunzo ya kjesh yalvo magumu Halaf unakuta mtu kavaa tu sare za jeshi na anatembea bila wasiwasi!! Weeee mesh s mchezo na habr za jesh ziache kama zilivo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
N uzembe wa kutojua jna la mkuu wako wa Wilaya, tena mwalimu, vp kuhusu wanafunz anaowafundsha? N lazma wawajbshwe na kukumbushwa umuhm wa kufaham majina ya viongoz wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili n jambo la kitaifa na linahtaj uzalendo so m nafkl n mda wa kushrikiana kwa pamoja na kuumunga mkono JPM ktk hli BT naamn haliwez kushndkana.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.