Recent content by denge100

  1. D

    CHADEMA kuna Ombwe la Uongozi

    umenena na kukiri kuwa wewe ni mwajiriwa wa CCM. BASI ENDELEA KULINDA KIBARUA CHAKO MAANA CCM IKIANGUKA NA WEWE UPO UWEZEKANO UNAOGOPA KUWA JOBLESS. KWA MAELEZO YAKO NI MALOFA NA WAPUMBAVU TU NDO WANAOWEZA KUPATA TAFSIRI AU MAUDHUI YA MANENO YAKO YOTE. BILA SHAKA KAMA UNGALIKUWA BADO UPO...
  2. D

    Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

    hivi mfano dr.slaa bado angekuwa ni padri, kisha akaja mke wa mtu kuungama zambi zake kwake kama ilivyo taratibu za kanisa lake, alafu baada ya kumpatia huduma hiyo aliyoifuata na huyo mke wa mtu kuondoka, siku nyingine anasikia mitaani yule mke wa mtu anatangaza kwa watu kuwa padri dr.silaa si...
  3. D

    Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

    hivi mfano dr.slaa bado angekuwa ni padri, kisha akaja mke wa mtu kuungama zambi zake kwake kama ilivyo taratibu za kanisa lake, alafu baada ya kumpatia huduma hiyo aliyoifuata na huyo mke wa mtu kuondoka, siku nyingine anasikia mitaani yule mke wa mtu anatangaza kwa watu kuwa padri dr.silaa si...
  4. D

    Kwanini Wakenya wako obsessed sana na Watanzania?

    Ukweli ni kuwa wakenya ni waoga, tena sana. Lakini ni wajanja, tena sana hata kuliko wa TZ, kwa maana ya kiuchumi. Wanaichukulia TZ kama ni "sleeping giant" in E. Africa. Zaidi sana wanaiogopa wasije wakaiamsha kwamba Wa TZ wasije wakajitambua na kufahamu unyonyaji na hila zinazofanywa na KENYA...
Back
Top Bottom