Wastaafu ni wazee/vikongwe.
Ni wagonjwa.
Ni fukara.
Kuna walemavu.
Kuna wanaohitaji wasaidizi nk
Kisha unamwambia mzee mwenye hali hiyo aende kuhakikiwa mkoani.
Kuna tunaosafiri zaidi ya km.250 kwenda kuhakikiwa.
Hamna huruma.
Upo sahihi kabisa.
Mzee alioa mzungu. Alikosea? Hapana. Hakukosea.
Nadhani ni uungwana kujizua kuamulia watu maisha yao.
Maisha ni mali binafsi.
Tunaishi duniani mara moja tu!
Ruhusu watu wafurahie wanavyotamani kuwa. Tujizuie kuwapangia.
Asante sana. Naomba kufahamu yafuatayo:
Nauli Dar Masasi ni kiasi gani? Hakuna basi la moja kwa moja hadi Ndanda? Je, safari ya Dar Masasi inatumia muda gani? Saa ngapi?
Ni mara yangu ya kwanza, natamani kusafiri mchana. Mabasi yapo?
Nakaribisha maelezo ya nyongeza ili kufanikisha safari hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.