👍Mkuu Ongeza muda wa kulala strong room ili uniletee mengi. Mtu primary anasoma kama Lameck, sekondari ni Mwigulu lazima kuna kitu uhakiki Sawa mahali. Ni Sawa na Bashite aliyepata 0 Form IV leo hii ni graduate wa MUCCOBS.
Uko sahihi. Hii ndiyo sababu Kuu na sio vinginevyo. Kilaini na Ngalalekumtwa ni very intelligent priests na ni zao la Vatican na ni classmates walirudi Tanzania tayari wakiwa mapadri ( Kilaini ilibidi apate ruhusa maalumu kutoka kwa Pope ili apadirishwe akiwa na miaka 25. Miaka inayotakiwa ni...
Mkuu hauko sahihi. Sheria ya kubadilisha kikotoo ilipelekwa na kupitishwa bungeni na Jennistèr Mhagama wakati wa JPM. Sheria hii ililalamikiwa sana na wadau na hasa Bungeni. Mbunge wa Kigoma (marehemu kwa sasa) alillamika sana na alisema namnukuu " sheria hii inaenda kuumiza wastaafu"...
Mkuu hicho kitu wala siyo siri! Kwa sisi wahenga tunajua Nyerere alifanya hivyo. Unajua vita vya RENAMO NA FRELIMO viliishaje? Kwa taarifa vako CIA wanamiliki hadi mashirika ya ndege ! FBI wana software companies na wanafanya biashara kwenye Maeneo hayo.
Rejea definition ya intelligence.
Kuna watu JF wana wivu balaa. CV za hawa watu wawili zinajitosheleza sana. Work experience 14 years bado mtu anasema hiki siyo kichwa seriously? Usually pessimism leads to fatalism. Kila la heri wateule, hivyo viatu vitawafit vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.