Olevel na Advance nimekee bweni, nilokutana ninayo ya ajabu ni mengi mno. Uchawi, utukutu, wizi, ufuska, n.k
1. Kuna jamaa flan alihamia skul tukiwa form3 alikuwa anaonekana mkubwa kutuzid kumbe yule jamaa alikuwa mchawi. Usiku wa manane alikuwa anakutwa anawanga kwenye korido za hostels...
Yes habari za masiku ndugu zangu na poleni nyote Kwa kadhia tuliyoipata kwa kusimamishwa Kwa muda Kwa platform yetu pendwa ila hope now tupo sawa.
Happy new year pia nawatakiwa kila lakheri katika huu mwaka mpya wa 2026.
Binafsi nimekaa nikafanya utafiti wa historia mbali mbali na kutafakari...
Nimeleta jukwaani kupata maoni ya wadau na watu wenye experience nisije kuacha hapa nikaenda huko mambo yakawa mabaya na nishaharibu huku najua hapa jukwaani kuna wadau pia wanafanya kazi huko Botswana maana naskia wabongo wapo wa kutosha tu huko Gaborone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.