Kwako kila kitu ni kwa wanasiasa. Majina ya mitaa, mashule, viwanja vya mpira, vya ndege. Yaani kila kitu. Hivi waTanzania wasio wanasiasa hawajawahi kulitendea taifa mambo mazuri? This mindset should be changed.
Mkuu, para yako ya kwanza ndiyo msingi wa hoja yangu; kwa maana kuwa dira ya taifa inaprescibe "what" and "when". Sasa kila mgombea (asiyetokana na chama) aje na "how", nasi wapigakura tuchague mwenye realistic "how".
Itikadi yakisiasa ni mbwembwe tu. Kuna wanaoshikilia itikadi ya ujamaa lakini...
Mkandara, mimi siamini katika kitu kinachoitwa itikadi ya chama na ilani ya uchaguzi ya chama. Havina msaada wowote kwa taifa. Tunapaswa kuwa na dira ya taifa ambayo wagombea urais (wasiokuwa na chama) watatueleza wataitekeleza namna gani. Narudia, kwenye uchaguzi wa rais kusiwe na habari ya...
Tuongee kizalendo kabisa, kikwazo kikuu cha Tanzania kutosonga mbele kwa kasi ni rais kutokana na chama cha siasa. Kwa sababu serikali anayounda rais itaitwa "serikali ya chama xxxx" -mwanzo wa anguko la nchi kwa sababu wabunge wanaotokana na chama cha rais (katika hali ya kawaida watakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.