KIWANJA KILICHOPO DSM KINAUZWA: Kipo Mbezi Luisi, Makabe katika kitongoji kinachoitwa MSAKUZI(Kwa Lipelanya).Kipo umbali wa kama mita 800 kutoka stand ya Msakuzi. Ukubwa wake: 20mx2m. Bei yake:8.8MIL. Kipo eneo zuri. Kimezungukwa na nyumba zilizojengwa tayari. Barabara ya kufika kwenye kiwanja...
Habari wanaJF,
Bado natafuta mtu kwa kuniletea samaki aina ya sangara na sato buchani kwangu, niko Dar. Mahitaji yangu ni kilo 100 za sangara na kilo 30 za sato kila wiki. Nicheck kwa whatsapp namba hii: 0769141105
I live in Dar. I am looking for someone who can supply me various brands of sausages. If interested please contact me by whatsapp through this number. +255 769 141105
Naona labda sijaeleweka. Mimi sina kiwanda ila nina outlet ambayo nauza vitu mbalimbali pamoja na sausages. Kwahiyo natafuta mtu atakaye kuwa ananiletea nanunua kwake kwa bei ya jumla. Nauza sausages brands mbalimbali ikiwemo hii ya Farmer´s Choice
Habari Wakuu,
Mimi niko DSM. Nahitaji distributor au supplier wa sausages za Kenya na Tanzania. Ninaweza chukua packet 50-70 kwa wiki. Niko Mbezi Mwisho. Please call this number if interested: 0769141105.
Asante
Habari wanaJF. Bado natafuta mtu anayeuza samaki(Sato & Sangara) kwa bei ya jumla Dar es Salaam. Nataka fungua bucha ya samaki. Plz kama uko Dar tuwasiliane kwa namba hii 0769141105. Asante
Habari wanajamii.
Kuna jamaa yangu anauza Line yake ya Tigo-pesa, M-pesa, Airtel Money na Mashine ya Selcom(inayotumika kulipia LUKU, DStV, Startimes, Zuku, Azamtv etc)
Kama unahitaji please naomba unitumie Private Message nitakupa taarifa zaidi.
Gari halina tatizo lolote ambalo nimekosa ufumbuzi. Spares zake zipo. Hakuna spare ambayo nilitafuta nikakosa. Hadi sasa iko vizuri, inatembea. Sio kwamba sijapata wateja, nimepata wengi tu , sema offer yao ilikuwa chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.