Gari inauzwa: Mitsubishi gdi: Bei nzuri

Gari inauzwa: Mitsubishi gdi: Bei nzuri

Democrat7

Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
32
Reaction score
11
IMG-20140726-WA0001.jpg IMG_20140727_172608.jpg IMG_20140727_172608.jpg IMG_20140727_172853.jpg IMG_20140727_172912.jpg IMG-20140726-WA0002.jpg IMG_20140727_173017.jpg IMG_20140727_173007.jpg IMG_20140727_172636.jpg


Wadau nauza gari hii. Picha zake ndo hizo. Gari iko kwenye hali nzuri kabisa. Naiuza kwa sababu kuna issue nataka fanya. BEI YAKE NI SH. 5,700,000. Kama uko interested nipigie namba hizi: 0713 249720 au 0753 063426
 
maelezo mengi hujaweka we umejaza mipicha tu,sema ya mwaka gani,engine capacity na details kibao mf je kioo kimetimia?bima na tra ndo utauza
 
Kwa bongo sijui kama utauza Toyota ni kama dini ilivyo wakaa moyoni
Mkuu tatizo spear,watu sio kwamba wanaenda tu kutumia toyota sababu ya mazoea,Watu wengi tunanunua spear second hand toka Japan,na importers wanajua sana kutake advantage,spare parts za mitsubish wanauza gali sana na pia ni adimu kupatikana maana gari za aina hiyo ziko chache sana.
Hata hizo toyota zenyewe kama sio popular sana spare zake ni ghali sana mfano,
,Niliwahi kumnunulia wife Toyota Passo,bahati mbaya ika haribika engine mounting,kuulizia bei ya used kwa moja ni laki tatu na nusu na hii ni baada ya kutafta sana hapa mjini,Hub za nyuma zinazotumia umeme kwa pair niliambiwa milioni,
Lakini kwa gari kama vitz,rav 4 au noah spare ni bei rahisi maana ziko tele.
Kwahiyo usishangae hata mleta uzi wa hii mitsubish kuna kitu imemsumbua na ameshindwa kuipatia uvumbuzi lakini hataki kuweka bayana ili auze haraka.
 
Ni kweli mi mwenyewe nilikuwa na pajero kuuza ulikuwa balaaa
 
Mkuu usijali, kama ukipenda utaweza kuja kuikagua kwa ukaribu zaidi. Documents zote zipo.
 
Gari halina tatizo lolote ambalo nimekosa ufumbuzi. Spares zake zipo. Hakuna spare ambayo nilitafuta nikakosa. Hadi sasa iko vizuri, inatembea. Sio kwamba sijapata wateja, nimepata wengi tu , sema offer yao ilikuwa chini
 
pesa ngapi wauza, kapicha ?
km ngapi? auto au manual?
 
Mkuu tatizo spear,watu sio kwamba wanaenda tu kutumia toyota sababu ya mazoea,Watu wengi tunanunua spear second hand toka Japan,na importers wanajua sana kutake advantage,spare parts za mitsubish wanauza gali sana na pia ni adimu kupatikana maana gari za aina hiyo ziko chache sana.
Hata hizo toyota zenyewe kama sio popular sana spare zake ni ghali sana mfano,
,Niliwahi kumnunulia wife Toyota Passo,bahati mbaya ika haribika engine mounting,kuulizia bei ya used kwa moja ni laki tatu na nusu na hii ni baada ya kutafta sana hapa mjini,Hub za nyuma zinazotumia umeme kwa pair niliambiwa milioni,
Lakini kwa gari kama vitz,rav 4 au noah spare ni bei rahisi maana ziko tele.
Kwahiyo usishangae hata mleta uzi wa hii mitsubish kuna kitu imemsumbua na ameshindwa kuipatia uvumbuzi lakini hataki kuweka bayana ili auze haraka.

Hapa umechepuka vizuri mie nimefarijika sana, asante kwa darasa huru. Pamoja mkuu
 
Mkuu tatizo spear,watu sio kwamba wanaenda tu kutumia toyota sababu ya mazoea,Watu wengi tunanunua spear second hand toka Japan,na importers wanajua sana kutake advantage,spare parts za mitsubish wanauza gali sana na pia ni adimu kupatikana maana gari za aina hiyo ziko chache sana.
Hata hizo toyota zenyewe kama sio popular sana spare zake ni ghali sana mfano,
,Niliwahi kumnunulia wife Toyota Passo,bahati mbaya ika haribika engine mounting,kuulizia bei ya used kwa moja ni laki tatu na nusu na hii ni baada ya kutafta sana hapa mjini,Hub za nyuma zinazotumia umeme kwa pair niliambiwa milioni,
Lakini kwa gari kama vitz,rav 4 au noah spare ni bei rahisi maana ziko tele.
Kwahiyo usishangae hata mleta uzi wa hii mitsubish kuna kitu imemsumbua na ameshindwa kuipatia uvumbuzi lakini hataki kuweka bayana ili auze haraka.

Mkuu I wish I could give 2 likes. Nimeuziwa Subaru inpreza 7m. Ilikua Ina misi ya ukweli nilitamani nishuke niiache barabarani, bhaji na pikipiki pamoja na vipaso vilikua vinanipinipita kama nimesimama. My last speed was 60kms/hr. Baba ninekuja gundua Ilikua na tattizo La plug ambayo moja Ni 50,000 kwa na Subaru. Nimefunga plug nne for 200,000 na sasa ninapeta kiukweli. Gari Ni nzuri, your comment sum it all.
 
Hofu ya watu ni spea za hiyo gari, lakini imetulia.
 
Back
Top Bottom