Recent content by DeMateriaMedica

  1. D

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Natamani kuanza hii biashara ya viatu vya mtumba... naombeni muongozo wadau.. maeneo gani nitapata na bei yake ikoje???? Sincerely,
  2. D

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Madaktari Watarajali Hospitali ya Mkoa wa Kilimanjaro tunadhalilika mitaani kwa kucheleweshewa posho za kujikimu

    Yaani sielewi hospital ya mawenzi ina shida gani, kama rrh zingine intern wanalipwa kwa wakati, inakuwaje kwa mawenzi kunakuwa na ucheleweshwaji wa malipo kwa intern usio kuwa na maelezo yakinifu???? Hili jambo lina makusudi ndani yake.
  3. D

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Madaktari Watarajali Hospitali ya Mkoa wa Kilimanjaro tunadhalilika mitaani kwa kucheleweshewa posho za kujikimu

    Mshahara wa intern unajulikana kama posho ya kujikimu ya kila mwezi ambayo inalipwa na serikali.... Mdau yuko sahihi maana ndo inajulikana hvyo... Kinachodaiwa ni hiyo posho ya mwezi wa nane mpka tarehe hii 19 mwezi wa 9 haijalipwa bado ilihali malipo yameshaingia akaunti ya hospital wiki ya...
Back
Top Bottom