Tamaa mbaya sana asijifanye alikuwa hauji ,alikuwa anajua kwa kuwa kakamatwa ndiyo anamlaum mumewe,wanachafua sura na taswira ya Watanzania,apewe adhabu kali ili iwe fundisho kwa wenzake
Ni kweli zitto ni mtu makini sana kwa siasa za ndani lakini napata maswali mengi ni nini kinamfanya asiendelee na siasa na kutaka kufundisha vyuo vikuu,mimi naamini huwenda amekatishwa tamaa na mambo furani furani,mimi namshauri akaze buti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.