Mambo ya wazanzibar waachieni wenyewe wazanzibar watanganyika hamtaki kuona Zanzibar iliyo salama mnafurahia migogoro Ili muendelee kututawala
Pascal wewe si mzanzibar Kwa mujibu ya katiba yetu shughulikiia yanakuhusu yetu tuwachie wenyewe
Kwa hiyo kuokoa MAISHA ya Lissu lengo lilikua kumfanya awe msekule wake??
Anyamaze Kwa Kila baya alitendalo keshafanya Kwa Zito Slaa na wengine lkn LISSU ni namba nyengine
Kwani ni yeye anaechagua mgombea mwenza mgombea mwenza kikatiba ilikua lazima atokee Zanzibar hivyo wajumbe wa halmashaur kuu Zanzibar ndio wanapeleka jina huna unachojua
Nasemaje ikija hoja kwamba upinzani Bado haujakomaa hivyo hatuwezi kuwakabidhi Nchi nikwamba hoja hizo pia Wakoloni walisema kwamba Waafrika hawajakomaa kukabidhiwa Nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.