Recent content by DeepState

  1. D

    Vipi majina ya waliofanya Oral interview (October -2020) eGA kupitia UTUMISHI yameshatoka?

    Kuhusu TCRA tayari watu wapo kazini kuanzia mwanzoni mwa 2020,mimi nina jamaa yangu mwenzake alipata hiyo nafasi alitokea tigo.
  2. D

    Adam Juma kwenye ubora wake;For you-Mario

    Hii nyimbo ni kali sana,ila ndio vile acha tuendelee na timu zetu.
  3. D

    Adam Juma kwenye ubora wake;For you-Mario

    Nimetizama hii video ya Mario iliyofanywa na Adam Juma,jamaa kazi anaijua yaani pamoja na kupumzika bado anawapiga gap kubwa hawa vijana wa siku hizi.
  4. D

    Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

    Sasa hiyo adhabu alifanya nini? Hebu tuambie..........
  5. D

    Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

    Unapayuka kama umekunywa maji ya mfereji mchafu hebu angalia series ya jamaa niliyekuwa na ongea nae anzia mwanzo.
  6. D

    Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

    Jux anacho kipata na kazi anayo ifanya ni tofauti na ni kweli mimi katika waimbaji ninao wakubali ni Jux,Ben,Barnaba yaani hawa nikiwatizama naona industry yenu still haiwapi hadhi wanayo stahili sijui kwako.
  7. D

    Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

    Sasa kwa kipindi Diamond kabanwa kila sehemu,kimbilio lake lilikiwa ni social network kulikiwa hamna means nyingine ya kupromote mziki wake. So kwa yeye kusema radio na tv si chochote ni sawa sababu alisurvive miaka miwili bila radio kupiga nyimbo zake na diamond aliinvest kwenye digital...
  8. D

    Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

    Una macho lakini huoni,Roma juzi katoka kulalamika tu akaulizi "hivi mziki wetu ni wa watu watatu".Alibishana na Askofu-Tz Instagram,Chemical kaongea kile kile,Dudu naye kaongea kilekile. Kuna wasanii wakali na wanatoa nyimbo kali ila hawana airtime,kama utabisha sawa ila fuatili hizi redio...
  9. D

    Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

    Najua mnalaumu system ya mziki ila huu mziki mpaka kufika hapa wakulaumiwa ni Clouds na Ruge,wao waliishika industry ya mziki na walikuwa wanaamua kutokana na maslahi yao nani wampandishe na nani wa mshushe,nani wambanie haijalishi ana ubora gani,tumeona kwa Jide,FA,Sugu,Rama dee na Diamond...
  10. D

    Vipi majina ya waliofanya Oral interview (October -2020) eGA kupitia UTUMISHI yameshatoka?

    Vipi majina ya waliofanya Oral interview (October -2020) eGA kupitia UTUMISHI yameshatoka?
Back
Top Bottom