Recent content by deddan

  1. D

    GE2010 Mdahalo wa wagombea urais 2010

    HAPA NDIPO PENYEWE. NADHANI KUNA UMUHIMU WA WAGOMBEA KUFANYA MDAHALO HUU, ILI WANANCHI TUPATE FURSA YA KUULIZA MASWALI. ITAKUWA VIZURI WAGOMBEA KUNADI SERA ZAO NA KUTETEA HOJA ZAO, BADALA YA HUU MFUMO WA WAO KUTUAMBIA NI NINI WAMEFANYA WAKITUMIA TAKWIMU AMBAZO HAZITAFITIWI. MUDA WA KUSEMA NDIO...
  2. D

    GE2010 Kikwete apendekezwa na CCM kugombea urais 2010

    Mimi nataka kuona wakifanya mdahalo wa pamoja, tuone wakitetea hoja zao. Tumsikilize na Mh. Kikwete akijibu maswali kutoka kwa wananchi na wasomi juu ya uongozi wake na matarajio na mikakati yake katika miaka mitano ijayo akipata huo urais. Jiunge nasi katika kupigania kufanyika kwa huo mdahalo...
  3. D

    GE2010 Dr. Slaa mgombea urais 2010 kupitia CHADEMA

    Mimi nataka huo mdahalo wa wagombea, tuone nani ni nani..tuone nani anaweza kutetea hoja zake sio kila siku watu kutusomea risala..karibuni kwenye group ya kuunga ombi la kufanyika mdahalo la wagombea; Campaign for Presidential Debate in Tanzania 2010 | Facebook
  4. D

    Toleo Jipya: Uongozi wetu na Hatma ya Tanzania

    ndoo maana lazima tuwabane viongozi wetu kwa mswali. Mimi nimeanzisha kampeni ya kutaka mdahalo wa wagombea wa urais ufanyike ili tuweze kuwauliza maswali wagombea, tujue ni viongozi aina gani. Karibu Campaign for Presidential Debate in Tanzania 2010 | Facebook
  5. D

    CCJ kuanza Charm offensive! - Ask your questions!

    Kwa sasa hatuwezi tegemea mengi kutoka kwa hiki chama. Mimi nadhani hii miaka mitano ijayo mpanga uchaguzi wa 2015 utakuwa muda mzuri wa kuona mwelekeo wa chama. Mimi binafsi sijachukua kadi ya uwanachama mpaka nione mwelekeo wao ndani ya miaka hii mitano ijayo. Watanzania tuache kulimbukia...
  6. D

    Mwl. Nyerere alisema kama mnampenda Kikwete kanyweni naye chai - Sasa tunayaona!!

    Maneno ya Nyerere yalikuwa sahihi, na kweli kuyumba kwa JK tumekuona. Nadhani ameegamia kwenye sera ya "you scratch my back i'll scratch yours" sana mpaka ameshindwa kutekeleza mambo ya msingi. Mfano, swala la mafisadilimemshinda kwasasabu, huwezi kula na kipofu alafu ukamshika mkono. Tatizo...
Back
Top Bottom