Inawezekana kabisa TAL aliamua kugombea uenyekiti wa Chama taifa mapema zaidi lakini hakutangaza kutokana na historia ndani ya chadema. Historia inaonesha viongozi wote ndani ya chadema walioonesha kuutaka uenyekiti mapema waliundiwa zengwe na kupewa kesi za usaliti kuwazuia kugombea uenyekiti...
Serikali haikuingilia maamuzi ya TFF, Rais kwa hekima zake alishauri Yanga mmalizane na Feitoto, ilikuwa ni ushauri tu Yanga ingeweza kupuuza na kuendelea na kesi kule CAS.
Yanga kwa kutambua kuwa wakipuuza huenda ombi lao la uwanja lisingekubaliwa wakatumia nao busara na kumalizana na Feitoto...
Yanga walimuuza Feitoto kwa Milioni 200 hapo ni baada ya Azam kuamua kufunika kombe ili kucomply na maagizo ya Mheshimiwa Rais kulimaliza Hilo swala.
Hata hivyo hiyo pesa bado ni kidogo sana kwa thamani ya Feitoto bado inabaki palepale kuwa wanasheria wa Yanga walifeli kwenye kuandaa mkataba wa...
Mkuu huwezi kujadiliana kistaarabu bila lugha ya matusi na dharau. Au kwakuwa ni mtandaoni na hutumii jina lako basi hujali? Anyway hii comment nimei report kwa mods waicheck.
Huyo Lissu mwenyewe ukimsimulia sakata la Feitoto ataukataa huo msimamo wako, anyway hapa Mimi natoa elimu Sina muda wa kuargue na layperson, ishu ya Feitoto ina maamuzi mengi (precedent) nyingi sana CAS wakijaribu kueleza ni kwa namna gani mchezaji anaweza kuvunja mkataba.
Ni kweli mchezaji ni...
Sasa wewe ukiangalia mwanasheria wa Yanga aliyeweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa kulipa Milioni 112 na mwanasheria wa Azam aliyeweka kipengele cha kuvunja mkataba kwa kulipa Dola 300,000/= nani alifanikiwa?
Halafu usijekutumia maamuzi ya TFF kuzipima Simba na Yanga, TFF always inaziogopa...
Mawakili wa Club za mpira tekelezeni wajibu wenu badala ya kulaumu wachambuzi na wachezaji
Na Wakili Zawadi Lupelo
Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na makala fupi ya Mwanasheria wa Club ya Yanga Wakili Simon Patrick akiwalaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto kuvunja...
Salamu mbele!
Walio wengi huku mtaani wanaona hafai kuvaa si tu viatu bali hata soksi za mwendazake, sifa pekee inayomtofautisha na mtangulizi wake ni hii Sifa ya demokrasia na utawala bora.
Hivi karibuni ameonekana anaitupa hata hii karata muhimu inayomtofautisha na mtangulizi wake ambayo...
Katika mazingira kama haya ndipo unapoona namna muundo wetu wa Muungano wa serikali mbili ulivyo mbovu na mbaya. Mazingira ambayo tuna Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Zanzibar na waziri wa uchukuzi Prof Mbarawa kutoka Zanzibar pia halafu wanaingia mikataba kuhusu bandari ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.