johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,829
- 141,744
Wore tunakumbuka kuwa Freeman Mbowe aliahidi kuachia nafasi ya mwenyekiti wa Chadema ifikapo 2023
Tena alisema anatamani nafasi take ichukuliwe na mjumbe wa Bawacha
Ila kea hiki kikosi kazi kipya cha wajumbe 20 kutoka Chadema na CCM kinavhoratibu siasa za Tanzania mpya ni wazi Mbowe itabidi asiachie uenyekiti hadi 2030
Mbarikiwe sana
Tena alisema anatamani nafasi take ichukuliwe na mjumbe wa Bawacha
Ila kea hiki kikosi kazi kipya cha wajumbe 20 kutoka Chadema na CCM kinavhoratibu siasa za Tanzania mpya ni wazi Mbowe itabidi asiachie uenyekiti hadi 2030
Mbarikiwe sana