Aksante Sana mkuu Kwa hili,tujitahidi kuwatoa watu usingizini,maana hatua bora na ya maana zaidi kuliko zote ni watu Kwanza waujue ukweli,baada ya hapo ndio tuanze kutafuta suluhu.Pamoja Sana.
wanasayansi wa marekani 'wamesema' wameweza kutua mwezini since 1960's na sasa wameweza kupeleka chombo Mars 300M miles from earth,lakini tangu kuanzishwa kwa Sloan kettering cancer research Institute mwaka 1890,zaidi ya karne nzima imepita bado wameshindwa kugundua tiba ya cancer?.....bado...
kuna watu wanasema walitumia takribani tshs laki 2 kujiuguza covid19,....hii si covid19 kama wanavyoamini,ni aidha influenza au walikua na healthy problems nyingine....
Halafu ukiona mtu anatumia takribani tshs laki 2 kujiuguza influenza(the termed covid19) basi ujue kinga yake iko...
Dalili za influenza ndio zilezile za" the termed covid19"....hii ni kwa mujibu wa CDC,si mimi.
Covid19 ni changa la macho tu ambao unategemea uwepo wa influenza na magonjwa mengine kama asthma,moyo nk...bila magonjwa haya basi covid19 haipo pia....sijui kama utakua umeelewa hapo.
miaka hii...
Influenza ina dalili hizi pia...kibaya zaidi hakuna kipimo kinachoweza kuthibitisha kwamba corona virus ndio kisababishi kwa dalili hizi,vipimo vilivyopo vyote ni flawed na viko manipulated kwa kazi maalum iliyokusudiwa na viwanda vya madawa ili kufikia malengo na dhamira zao kwa urahisi.
kinachonishangaza kwa uzoefu wangu ni kwamba,wale wanaofuata taratibu kama kuvaa barakoa na kunawa mikono ndio wanaougua,...mfano wewe,unasema tatizo watu wanaokuzunguka hawachukui tahadhari,pia kuna mwingine humu anasema aliugua ingawa alikua anachukua tahadhari ila tatizo ni wale...
wanaoshabikia chanjo hata hawajui hiyo covid19 yenyewe ni nini....
Ukitaka kuthibitisha hili,waulize wakupe dalili MOJA TU,narudia,wakupe dalili MOJA TU ambayo ipo kwenye covid19 lakini huwezi kuikuta kwenye seasonal flu/Influenza.Hata madaktari wetu hawawezi kujibu swali hili kwa maana nao...
jitahidi usimjibu kila mtu,wengine tayari wameshakua na distorted minds na wengine wananufaika na hili suala,hivyo usitegemee kabisa watu wa namna hii wakuelewe kwenye mada kama hii.
Wanaojielewa huko nchi za wazungu wanaandama kabisa kutetea haki zao maana wanajua madhara yatakayotokea...
Una uhakika kama rais wako amedungwa kweli ile chanjo?...na kama hajadungwa,je, wewe unajua kwanini hakuruhusu chanjo ile iingie mwilini mwake halafu wewe ndio ushabikie kwenda kudungwa?
Nakupa homework ufuatilie hili utaelewa ninachosema taratibu.
Zile si hoja za Gwajima,bali ndio sayansi ilivyo....anayedhani kwamba Gwajima anaongea upuuzi basi huyo ndio mwenye matatizo kichwani.
Ukitaka kujua kama hoja alizotoa Gwajima(si hoja za Gwajima) ndio ukweli wenyewe,subiri uone kama kuna mtu yeyote atajitokeza kuweka debate naye...
Umejiuliza vyema sana....
Hivi serikali hiihii inayoruhusu biashara ya sigara kwa kuigonga chapa ya TBS ilihali watengenezaji wenyewe wa sigara hizo wameonya kwamba uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako unaweza kuiamini kwenye mambo mengine yahusuyo afya yako kweli?
Mchakato wa upatikanaji...
1.ARVs=HIV/AIDS....yaani ARVs ndizo zinazoua na si HIV
2.ARVs unapewa bure wewe mwananchi na serikali yako,lakini serikali inanunua....unajua inanunua tshs ngapi dosage ya mwezi kwa mtumiaji mmoja?....unajua kwa mwezi mmoja serikali inatumia tshs ngapi kulipia dosage ya watumiaji wa nchi nzima...
Hata mimi nashangaa!
Tangu lini mzungu akapenda waafrika waishi?,tangu lini mzungu akahuzunishwa na vifo vya waafrika kiasi cha kufanya juhudi ya kutulazimisha kudungwa chanjo ili tusife?!!...tangu lini?
Ukitaka kujua kama asilimia kubwa ya wananchi hata walio "uswahilini" wameshtuka na...
Bila shaka,ila nakuwekea vizuri zaidi sentensi yako...."wananchi wana haki ya kuelimishwa faida na HASARA za chanjo hii halafu wao wenyewe ndio wanachague"...
Pia haina haja ya kutumia watu maarufu kama wasanii nk kuhamasisha watu wachanje wakati tayari wameshapewa elimu kuhusu faida na hasara...
ukiona mtu yeyote anapinga hoja za Gwajima kuhusu chanjo ya covid19 basi ujue huyo ni msukule wa wazungu,na watu hao ni hatari sana kwa taifa na vizazi vijavyo,wanatakiwa wafe na ikiwezekana wauawe kabisa tusafishe nchi.
Mijitu inashindwa hata kutumia akili ya kawaida tu kufiri....iko wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.