Tuwasubiri hao wajuvi wa mambo waje kutupa connection za mashamba maana kwakweli natafakari hapa deni la taifa naona bora nikalime maana huko kwenye soko la ajira pameshabumba .. Shamba la chini ya mfereji ukipata ni baraka ndio maana kikwetu tunaita ''ghema sii ya mfongo '
Maisha ni kitabu ... story nyingi za kuumiza na matendo mabaya tunayofanyiwa na watu wa karibu hasa familia maranyingi yanafanya tuwe sugu na wakati tunatafakari wengi wetu tunaingizwa kwenye list ya watu wenye kiburi na hao hao watesi wetu.. Nakazia .. Familia sio lazima wawe ndugu wa damu...
Watu wa CCM kuna muda mnashangaza sana, huu utaratibu wa kuwaaminisha watanzania kwamba hatuwezi kuwa na kiongozi bora zaidi ya mnaemtaka nyie mnatoa wapi legacy ya kutupangia ?
Tanzania tunataka kiongozi bora mwenye uadilifu sio bora kiongozi kama ilivyo sasa. Hakuna kipindi tumewahi kuwa na...
Tanzania tumepitia kipindi kigumu sana ndani ya uongozi uliopo madarakani kwa sasa
Tumeona kila aina ya uchawa wa viongozi wetu kwa kumpaka mafuta namba1 kwa mgongo wa chupa aka UCHAWA!! Kila mtu akisimama hata sio mwanasiasa mpaka watumishi wa umma anasimama kwa kumshukuru mama.
Hii ni hatari...
SIKU UPINZANI UKISHIKA MADARAKA KWENYE HII NCHI MBOGAMBOGA MJIANDAE KUTAFUTA NCHI YA KWENDA KUISHI, WANANCHI TUNA HASIRA NA NINYI KULIKO MNAVYODHANI...
MNAJISAHAU SANA WATANZANIA WA SASA WAMEELIMIKA SIO WALE WA ANALOGIA KITAWALAMBA
Kama hizi ndio akili za mbogamboga tuna hali mbaya sana kama vijana huko mbeleni
Mbogambiga inatengeneza taifa la vijana wajinga kupata kutokea.
angalia fikra za vijana wa CCM akina Osca Kambona ,na wengine enzi hizo za TANU walikuwa na fikra tunduizi zilizoweza kufanya chama kikashika hatamu...
Mkuu unakubaliana kabisa na hii hali inayoendelea , kwasasa route ya mwendokasi iliyopo active ni kutoka mjini kwenda njia ya Morogoro road to either mbezi au Morocco ,
Tujiulize hizi njia zikikamilika kwa asilimoa 100% kwa barabara zote kuja mjini hali itakuwaje sababu kama walijenga barabara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.