Mgombea urais wa ccm ametoa kali ya mwaka leo jijini Arusha baada ya kutoka nduki mara baada ya kumaliza mkutano wake saa kumi na moja na nusu, akiwa anazingirwa na kikosi cha polisi zaidi ya 100, na hii ni kutokana Arusha hakuna green guard, police wengi wamemwagwa maeneo ya kuzunguka uwanja wa...
Tulio huku mikoani tunashindwa hata kula samaki, soko kuu la Arusha kuna nuka miarufu ya masaki na mkuku iliyooza hakutamaniki, yaani ni shida mtu unashindwa hata kufanya shopping ya nyanya na viungo vengine .ccw must be gone.
Wapinduke wagare gare, lakini mbona hawazungumzii hizo ofisi zao wamepata wapi fedha kila wilaya, zito anasema watu wataingia bure kwenye uwanja wa taifa kushangilia timu ya taifa???
Chama cha ACT Wazalendo walikosa chaguo ikabidi wafanye go for the hell kwa kuwa profesor kitila mkumbo alikataa. Wamejaribu kuzungumza ila mipasho kama kawaida. ACT Hawajiamini.
Kumbe wewe ni kajuzi juzi tu, sisi walimu wa siku nyingi tunaidai serikali 16 bilioni haijalipa leo waongeze mshahara laki 3, unacheza wewe, hakuna kura ya mwalimu kwa maccm.
Yaani angesema haya maneno yeriko nyerere au tumaini makene au arusha one ningeelewa, ila wewe gamba sishtuki, kwani magufuli alisema sera ipi, si yale yale tu, ulikuwa umefunga masikio mh. Lowasa aliposema vipaumbele vyake ni elimu, elimug, elimu??? Mwaka huu mtabadilisha id, mtanyooka tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.