Recent content by Deberi

  1. D

    Kwa wale wanaotembea na waume za watu

    Kwanza mleta Uzi huu amekurupuka tu baada ya kushindwa kupambana na huba/hali yake,,,,,, hv umefanya calculation nzur kati ya Me na Ke ukapata jibu? Hv inawezekanika kweli kila mwanamke akawa na mwanaume wake peke yake bila kushare???????? Think twice then come again
  2. D

    Kwanini wanawake huwa hawapendani??

    Jaman hapa lazima kuna shida mwanaume kamili na anaejitambua hawez ongea huu ujinga kwanza time hiyo hana
  3. D

    Kwanini wanawake huwa hawapendani??

    Ila na ww una shida yako, hebu iweke wazi nasi ndo tukujibu ulichouliza maana mimi ckuelew kabisa au mwenzetu ni half/half??
  4. D

    Kwanini wanawake huwa hawapendani??

    Hahahaaaaaaaa ni kweli kabisa ana tatizo huyu
Back
Top Bottom