Habarini wanajukwaa?
Naomba kuuliza eti kama mtu ameajiriwa na serikali(ajira mpya) na hajapewa malipo yake ya mshahara kwa zaidi ya mwezi mmoja, je mtu huyo anaweza kuandika barua ya kusimamisha ajira yake kwa ajili ya kufuatilia malipo ya mishahara ya nyuma?
Habarini wanajukwa?
Naomba kujuzwa hivi kama ikitokea mtu ameajiriwa na serikali tarehe 23 mwezi wa nne je anaweza kulipwa mshahara wa mwezi wa nne au inabid aanze kulipwa mwezi wa 5?
Nashukuruni kwa kwa mliotoa michango chanya nimepata majibu ya swali langu na kwa wale mliotoa majibu hasi siku nyingine mjitahid kuwa positive kwa maana sio kila anayeuliza swali humu huwa anauliza kwa malengo hayo mliyoyawaza nyinyi.
Namaliza na shukurani kwa wanajamvi🙏
Habarini wanajukwaa?,
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,binafsi naomba mnisaidie kujua nyie mnawezaje kuingia humu JamiiForums mkiwa ndani ya Tanzania ilhali hali ya kimtandao haijakaa sawa?
Nb:
Mimi sipo Tanzania ila nauliza kwa niaba ya ndugu zangu waliopo huko Tanzania ili nao waweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.