Recent content by Dear ex

  1. D

    Je mwajiriwa anaweza kusimamisha ajira yake kwa muda kwa ajili ya kufuatilia malipo ya mshahara anayodai?

    Habarini wanajukwaa? Naomba kuuliza eti kama mtu ameajiriwa na serikali(ajira mpya) na hajapewa malipo yake ya mshahara kwa zaidi ya mwezi mmoja, je mtu huyo anaweza kuandika barua ya kusimamisha ajira yake kwa ajili ya kufuatilia malipo ya mishahara ya nyuma?
  2. D

    Utaratibu wa mishahara upoje iwapo kama mwajiriwa akiajiriwa na serikali tarehe za mwisho wa mwezi?

    Habarini wanajukwa? Naomba kujuzwa hivi kama ikitokea mtu ameajiriwa na serikali tarehe 23 mwezi wa nne je anaweza kulipwa mshahara wa mwezi wa nne au inabid aanze kulipwa mwezi wa 5?
  3. D

    Wakuu hivi nyie mnawezaje kuingia humu JamiiForums kwa hiki kipindi mkiwa ndani ya Tanzania?

    Nashukuruni kwa kwa mliotoa michango chanya nimepata majibu ya swali langu na kwa wale mliotoa majibu hasi siku nyingine mjitahid kuwa positive kwa maana sio kila anayeuliza swali humu huwa anauliza kwa malengo hayo mliyoyawaza nyinyi. Namaliza na shukurani kwa wanajamvi🙏
  4. D

    Wakuu hivi nyie mnawezaje kuingia humu JamiiForums kwa hiki kipindi mkiwa ndani ya Tanzania?

    Habarini wanajukwaa?, Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,binafsi naomba mnisaidie kujua nyie mnawezaje kuingia humu JamiiForums mkiwa ndani ya Tanzania ilhali hali ya kimtandao haijakaa sawa? Nb: Mimi sipo Tanzania ila nauliza kwa niaba ya ndugu zangu waliopo huko Tanzania ili nao waweze...
  5. D

    Walimu wa Physics waliowahi kuhudhuria oral interview ya utumishi ni maswali gani mlikutana nayo?

    Habari za muda huu kila mwanajukwaa? Kama kichwa kinavyojieleza hapo naombeni mnipe mwongozo
Back
Top Bottom